GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama Mabosi wa GSM wakiweza Kuongea vyema na Marefarii wa Kibongo na hivi wengi sasa wana Njaa kutokana na CORONA hii basi Yanga SC yetu itashinda Mechi zetu zote zilizobaki na Kuiduwaza Timu nisiyoipenda kabisa duniani ya Simba SC. Tuwaombe akina GSM, La Liga na Klabu ya Sevilla waje watusaidie katika Mechi hizi zilizobaki ili ' Mnyama ' apoteze au atoe Sare zote na Sisi tushinde zetu.
Nina uhakika kabisa tena wa 100% kwa Simba SC hii ' Mbovu Mbovu ' sijui ya akina Kagere, Chama, Micquissone, Kahata, Mkude, Dilunga na Wengineo hawana ubavu wa Kuipambania Simba SC iwe Bingwa wa 2019 / 2020 wakati Sisi Yanga SC ina Wachezaji Wakali na Mahiri mno kama Washambuliaji akina Yikpe na Molinga ambao wanaoongoza kwa Ufungaji Magoli katika Ligi ya VPL.
GSM wala msiogope na Kutishwa na wale wanaosema sijui ' Mnainyonya ' Yanga SC Kimapato ( Kipesa ) tena Mimi GENTAMYCINE kwa ninavyowakubali natamani hata Jina la Yanga SC libadilishwe haraka na sasa Yanga SC yetu iitwe GSM Mapesa Mabadiliko Football Club. Nawashauri GSM hebu ' Wahongeni ' Marefa ili Yanga SC tuwe Mabingwa kwani PCCB hawataweza Kuwashtukieni.
Mwisho kabisa GSM kama mtaridhia Mimi Mwanachama Mtiifu wa Yanga SC nawashauri kama ikiwapendezeni hebu tuachane haraka na huyu Mchezaji ' Mzigo ' kutoka Ghana Bernard Morisson kwani hana ' Ubora ' huo na ikiwezekana tumrudishe Timu B akaendelee ' Kujifua ' zaidi au tumtoe hata kwa Mkopo kwa Timu nisiyoipenda duniani ya Simba SC na tumsajili Paul Nonga pekee.
Na kama labda GSM mtakuwa mnaogopa ' Kuwahonga ' Marefarii ili Yanga SC yetu iwe inashinda Mechi zilizobaki nitumieni Mimi mtafurahi mno.
Nina uhakika kabisa tena wa 100% kwa Simba SC hii ' Mbovu Mbovu ' sijui ya akina Kagere, Chama, Micquissone, Kahata, Mkude, Dilunga na Wengineo hawana ubavu wa Kuipambania Simba SC iwe Bingwa wa 2019 / 2020 wakati Sisi Yanga SC ina Wachezaji Wakali na Mahiri mno kama Washambuliaji akina Yikpe na Molinga ambao wanaoongoza kwa Ufungaji Magoli katika Ligi ya VPL.
GSM wala msiogope na Kutishwa na wale wanaosema sijui ' Mnainyonya ' Yanga SC Kimapato ( Kipesa ) tena Mimi GENTAMYCINE kwa ninavyowakubali natamani hata Jina la Yanga SC libadilishwe haraka na sasa Yanga SC yetu iitwe GSM Mapesa Mabadiliko Football Club. Nawashauri GSM hebu ' Wahongeni ' Marefa ili Yanga SC tuwe Mabingwa kwani PCCB hawataweza Kuwashtukieni.
Mwisho kabisa GSM kama mtaridhia Mimi Mwanachama Mtiifu wa Yanga SC nawashauri kama ikiwapendezeni hebu tuachane haraka na huyu Mchezaji ' Mzigo ' kutoka Ghana Bernard Morisson kwani hana ' Ubora ' huo na ikiwezekana tumrudishe Timu B akaendelee ' Kujifua ' zaidi au tumtoe hata kwa Mkopo kwa Timu nisiyoipenda duniani ya Simba SC na tumsajili Paul Nonga pekee.
Na kama labda GSM mtakuwa mnaogopa ' Kuwahonga ' Marefarii ili Yanga SC yetu iwe inashinda Mechi zilizobaki nitumieni Mimi mtafurahi mno.