GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama vipi nipeni Saini zenu Wote ili tuitishe Kikao cha Kumjadili na Kumtoa na ikiwezekana tumuombe Mo atudhamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuwezi kufanya hivyo mpaka utuleze kwann unatutia aibu👇Kama vipi nipeni Saini zenu Wote ili tuitishe Kikao cha Kumjadili na Kumtoa na ikiwezekana tumuombe Mo atudhamini.
nimeuliza swali, kwanin ulikimbia uzi wako na ukaufunga kabisa? Sasa hapo kosa langu lipo wapi? Mimi nimekuuliza nataka kujua spana gani ulizopigwa zikapelekea kuukimbia uzi wako?👇Payge huyu hajaanza Kunichokoza leo wala jana. Tusije Kulaumiana tu baadae.
Asante mkuu kwa jibu tukuka tatizo hafatilii mambo yupo yupo tu, sasa unisaidie kumuuliza kwann baada ya kupigwa spana akafunga uzi na kutoweka siku mbili nzima kama sativaJibu la swali lako limeshatolewa kwenye mkutano mkuu
Yanga imeingiza bilioni 21. Matumizi ya yanga ni bilioni 22.
Hasara bilioni 1.
Huyo jamaa afatilii mamboMbna washaeleza kua walipata hasara.
Konyagi mbaya sana hasa ikiingia kwenye ubongoKama vipi nipeni Saini zenu Wote ili tuitishe Kikao cha Kumjadili na Kumtoa na ikiwezekana tumuombe Mo atudhamini.