Wana Yanga SC wenzangu tusikubali huu usajili wa kiini macho tafadhali

Ni ushahidi dhahiri wa umakini wa usajili wenyewe. Ukisikia analaaniwa na shetani, elewa kuwa mwanadamu huyo yuko kwenye njia sahihi. Na kinyume chake, mwanadamu asifiwaye na shetani ameshapotea huyo!
 
Mshaanza kujijambia,subiri tukitangaza rasmi usajili wetu,mikia m tamatani muanze usajili upya,elewa usajili wa Yanga unasimamiwa kocha G Lwandamina na katibu mkuu C Mkwasa ambaye taaluma yake unaijua,wakati mikia usajili wenu unafanywa na pope na wale walioko keko,mwisho wa siku tutajua mchele upi na pumba ni zipi
 
Wewe huwa ni simba. Changa la macho cc Nifah
 
Kila mwaka bingwa Yanga mpaka inauzi, nadhani viongozi wameliona hilo ndio maana wameamua kusajili timu ya Hovyoooo.
Na WAZEE WA FIFA wametumia fursa kwa kusajili timu nzima iliyokuwa inashika no 2 yaani AZAM ili walau wapate ubingwa HONGERENI kwa ukiona FURSA.
 
Gentamycine, wewe ni shabiki waSimba humu jukwaani wote tunakufahamu hivyo. Imekuwaje leo umekuwa Yanga mkuu?

Mbona Lowassa alijulikana ni mwana CCM lakini ghafla akahamia CHADEMA Mkuu? Yaani naipenda Yanga FC mpaka basi ila kwa ' Usajili ' huu mbovu na wa ' Kipuuzi ' wa kuwasajili Wachezaji wabovu kama akina Ajib na sijui huyu Mkongo Mbilimbi kimeniudhi mno kwani hawana hadhi ya kuchezea Klabu yetu kubwa na ya Kimataifa kama ya Yanga.
 
Kidogo nikukosoe mwana Yanga mwenzangu

NGOMA ni aina ya washambuliaji kwa sasa ambao wana itajika katika soka la kisasa..aina ya mpira anao cheza ni tofauti kabisa na mavugo wa Simba..ana uwezo wa kufanya chochote pale kwani ana nguvu za kutosha..! Msimu ulio usha Ngoma alifunga goli 10 kama sikosei sina uhakika lakini hakuna mshambuliaji yoyote wa Simba aliye mpita kwa magoli katika hizo goli linganisha na mechi alizo cheza...
.
KAMUSOKO hapa napo mkuu umekosea kamusoko sio kiungo mbaya kama tunavyo fikiri. Ukitaka kuona Yanga ina kwenda mbele mwangalie KAMUSOKO yupo wapi usimwangalie NIYONZIMA maana ukimwangalia NIYONZIMA huta muona Kamusoko ana fanya nini ndani...

Ngoja nikupe mfano kidogo
Mechi ya kwanza kati ya SIMBA VS YANGA. Kipindi wakati Kamusoko yupo ndani timu ilikuwa inacheza kwa mipango sana lakini alipo umia soka lika badilika mipira ikawa haiyendi mbele..

YANGA wanacho nifurahisha ni kuwa wanafanya usajiri yale maenek yenye mapungufu na sio kimehemko..aYanga ina mipango yake na Simba ina mipango yake ndiyo mana wengine wana jenga kikosi kwa kununua wachezaji wote wa kikosi cha kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe tangu lini upo Yanga?

100% nimependezwa na nakubaliana na usajili wa kisayansi uliofanywa na Yanga Sc....kuna timu wenyewe wamesajili kikosi kizimaa
 
Gentamycine, wewe ni shabiki waSimba humu jukwaani wote tunakufahamu hivyo. Imekuwaje leo umekuwa Yanga mkuu?
Huwa namshangaa hata mimi na sijajuaga lengo lake aisee.
 
Reactions: BAK
Kumbe swahiba nawe mwana jangwani.

[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] sana. Namuona tu huyu jamaa anavyotapa tapa
 
Ushabiki wa soka ni tofauti na wa vyama vya siasa aisee mkuu.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…