Wana Yanga tuishabikie ndugu zetu Simba kwa faida yetu

Nisawana kumsifia mgoni wako anajua kumkuna mkeo
 
Mimi ni Simba lakini siungi mkono hii kauli wote tushaibikie Simba sababu team ya Tanzania. Hakuna raha ya mpira ni kuwa na watu wanawazomea kidogo wana Yanga wana haki zao kabisa za kushangilia team wanayotaka maana raha yao kuona Simba inafungwa ni kama mimi siwezi kuwaombea Yanga mazuri huo unafiki tu. Team ya kushangili wote in ya Taifa tu sio clubs. Hizi kauli tuungane tushangile team ya Tanzania hazina mshiko na tusi ishi kinafiki mpaka katika michezo. Mimi ni Simba na siwezi kuja kuishangilia Yanga. Tuwaache wana Yanga haki yao kushangilia team yoyote hapo Simba tukishinda wa kuwatukana kwanza hao Yanga hiyo Vita wala hatutawaambia kitu watapanda ndege kuugulia kwao watakaopata shida wana Jangwani. Yanga mimi nawaambia mimi Simba ila msiombe tukashinda mtapata tabu sana mjini tuombeeni njaa tu maneno ya siasa huko eti tuungane...
 
Sisi Yanga kamwe hatutakuja tuwe kitu kimoja na Simba hivyo tumpuuze kwa nguvu zote mtoa mada. Na atayefanikiwa kukutana na mtoa mada amcharaze bakora za kutosha na kumtoa nduki. Ni bora tusishiriki klabu bingwa ila Simba wasiendelee!! Hatuipendi Simba. Vita Club + Yanga nguvu moja,Vita tusaidoeni sana kuwasukumia nje Hawa shwaini
 
Wabongo acheni ushamba bhana,mbona sehem zingine mashabiki wanakuwa pamoja linapokuja swala la maendeleo kwenye soka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wewe ni mamluki sio shabiki kindakindaki wa Yanga...


Yaani mimi huyo? nitoe vimiguu vyangu nikanunue jezi ya simba niishangilie? Huh, hata kama naumwa siwezi mara kumi nkashabikie misosi Fc kule ndondo cup

Waambie hao Simba hatudanganyiki...


Kila la heri AS VITA CLUB


Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
 
Bilashaka umeandika huu upu upu ukiwa unapumuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora niache kushangilia mpira kuliko kuishangilia simba...mambumbumbu fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaakili angalau kidgo kwenye kundi la mambumbumbu umo kwa mkumbo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo anaweza mtafuta kiki Muro tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…