Wana Yanga tuishabikie ndugu zetu Simba kwa faida yetu

Hutaamini masikio na macho yako wakishinda huku mtaani hatutalala
 
Chuki itawauwa wana Yanga,msiwe hivyo, kuweni na uzalendo kwa faida ya nchi na nyie kama nyie,au kwakua nyie hamjAwahi kufikia hatua hiyo simba waliofikia?? Leo Simba itawabeba na bado hamtaki, mnataka nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shadeeya njoo muone huyu mamluki
Hiv ingekuwa ndo yanga vs vita hawa mikia wangetushangilia??
 
Ndo maana mmeukalia Wa Lipuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…