2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Salute kwa Simba mpaka walipofika.
Kusema kweli Simba ni club ya kutemela sana hata tz, wamefanya vizuri sana game zao hasa za hapa nyumbani. Ukilinganisha na sisi Yanga ambao tulipangwa kwenye kundi rahisi sana mwaka jana kwenye shirikisho. Japo Simba yupo kama underdog lakin tuwe kitu kimoja na tutoe support ya kweli.
Faida hii hapa. Kama Simba itasonga itakuwa ni mteremko kwa Yanga na Tanzania sababu tutaongeza tumu 1 kwenye michuano hii. Yanga ambao haipewi nafasi ya kuwa bingwa, Simba ikiwa bingwa Yanga ikashika nafasi ya pili moja kwa moja watagombea nafasi ya kushiriki club bingwa Afrika.
Vita club wanatumia jezi ya njano so wanayanga msivae jezi zenu ili kuondokana kama mashabiki wa Vita. Wote tuvae Nyekundu tu.
Asanteni karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema kweli Simba ni club ya kutemela sana hata tz, wamefanya vizuri sana game zao hasa za hapa nyumbani. Ukilinganisha na sisi Yanga ambao tulipangwa kwenye kundi rahisi sana mwaka jana kwenye shirikisho. Japo Simba yupo kama underdog lakin tuwe kitu kimoja na tutoe support ya kweli.
Faida hii hapa. Kama Simba itasonga itakuwa ni mteremko kwa Yanga na Tanzania sababu tutaongeza tumu 1 kwenye michuano hii. Yanga ambao haipewi nafasi ya kuwa bingwa, Simba ikiwa bingwa Yanga ikashika nafasi ya pili moja kwa moja watagombea nafasi ya kushiriki club bingwa Afrika.
Vita club wanatumia jezi ya njano so wanayanga msivae jezi zenu ili kuondokana kama mashabiki wa Vita. Wote tuvae Nyekundu tu.
Asanteni karibu
Sent using Jamii Forums mobile app