Wana Yanga wenzangu kinachoenda kufanyika Sudan na Al Hilal siyo mpira ni vita!

Yanga itafanya vizuri confederation cup.
Sioni timu ya cecafa itakayofika semi finals za Championships mwaka huu.
Ila kombe la washindi, Yanga itAFANYA VIZURI, NAAMINI HILO.
kombe la washindi kivipi? akishatolewa jumapili huko kombe la washindi inabidi acheze mechi moja ya knockout na team yenye points za juu wakati wao wana 0.5 points
 
mpira wa africa utokuja kuendelea milele kwa mambo kama aya
kwani mkuu nyie wageni wa michuano hii? kuanzia hatua ya makundi ndipo CAF na wadhamini wao wanaanza ku control mambo ya tv hatua za awali zimeachiwa teams kuuza copyrights wapate hela, kwa hiyo mechi ya dsm yanga walichukua pesa kwa azam, team ikikataa ni haki yake pia kama mechi yenu na rivers utd nigeria haikuonyeshwa

Kwenye makundi hata sponsors wa kamari hawaruhusiwi ndiyo maana simba huwa wanavaa visit tanzania sababu CAf wana sponsor wao 1x bet
 
Wanathimba acheni kuhemkwa na pilipili ya shamba wenye game tumetuliaa hatuna shida
Kama unafuatilia media za Sudan hasa page za Al hilal hakuna kitu wanaogopa kama kuja kufungiwa na CAF, muda wote wanahamasisha mashabiki wao kufuata sheria na kutovuka uzio kwenda kwenye uwanja.

Halafu wanawazodowa Simba hawataki urafiki wa kinafki na Simba wa adui wa adui yako ni rafikio.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-10-11-10-22-58-18.png
    43.4 KB · Views: 2
CAF ni chama Cha hovyo sana mpaka Leo hii watu hawataki kuonyesha mechi kwenye tv
Imefika zamu yenu ndio mnaona caf wa hovyo, tulieni dawa iwaingie watani [emoji28][emoji28]
 
Imefika zamu yenu ndio mnaona caf wa hovyo, tulieni dawa iwaingie watani [emoji28][emoji28]
Sudan hakuna tension kama ya Misri, hatuna hofu nao kabisa, Tena Yanga inakwenda kucheza kwenye Ardhi ambayo watia nuksi wa Msimbazi hamna access napo.

Itakuwa ni show moja safi kabisa, wao wenyeww Al hilal wanasema kwenye preliminary wamepangiwa timu ngumu tupu tofauti na timu zingine.
 
yanga ni team kubwa sana hata afrika ilistuka kutoa draw na team ndogo kama al hilal, hata wakitolewa wakaangukai shirikisho yanga watapangwa na kibonde kwenye knockout sababu wana points nyingi CAF ,maana vibonde wanapangwa na team heavy zenye points heavy kutafuta teams za kuangukia shirikisho
 
Yanga itafanya vizuri confederation cup.
Sioni timu ya cecafa itakayofika semi finals za Championships mwaka huu.
Ila kombe la washindi, Yanga itAFANYA VIZURI, NAAMINI HILO.
imani yako ni potofu haina tofauti na kuamini ushirikina
 
Imefika zamu yenu ndio mnaona caf wa hovyo, tulieni dawa iwaingie watani [emoji28][emoji28]
Swali sio zamu ya nin Dunia ya science and technology hutaki watu waonyeshe mpira live, wenzetu wanaenda mbele sis tunarudi nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…