Wana Yanga wenzangu tushirikiane tuutoe ule mwiko kule nyuma lasiivyo tutaendelea kuteseka.

Mimi mashaka yangu kuna kitu kilifanyika dhidi ya Yanga kwenye game ya kwanza pale kwa mkapa... Kuna watanzania walilisaliti Taifa na kuifanyia hujuma Yanga... Tuwaite wahaini, watafutwe washughulikiwe... Ikiwezekana timu yao isishinde game yoyote ifuatayo pale kwa mkapa
 
Acha malalamiko subiri tar 23 mmalize hasira zenu kwa simba maana ndo mlichobakisha hcho
 
Uhaini ndo mnauona leo?.toka mnawakaribisha wageni na kuvaa kabisa tishet zao mlikua mnahujumu mbuzi?.sasa mkae kwa kutulia dawa ndo kwanza ni siku ya kwanza.
 
Hauwezi kutatua matatizo yako kwa kujidanganya kuwa hayapo.
Mwenzako anajiandaa na mechi za Kimataifa anaandaa bonanza linalohusisha timu za kimataifa.
Bado akaenda DRC, wakati huo wewe umejifungia AVIC TOWN unacheza na Mbuni fc n.k timu ambayo hat mngepanga Yanga B bado mngeshinda.
Halafu leo useme umesalitiwa ?
Kubali kwamba kuna mahali mlikosea mjirekebishe ili mfanye vizuri shirikisho
 
Nabi toka amejiunga yanga mechi za kimataifa kawafunga zalan tu
 
Me nashangaa sana hizi kauli zao, Yanga hatoki hiyo tarehe 23.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichowakost Yanga ni kukubali kuw wao hawatoboi kimataifa yani ile external force ya maneno imeidhuru nafsi hivyo Simba muikatae hii ya kwamba utopolo atawafunga kila siku muikataee na kuikemea hiyo roho chafu
 
Mbona mnawapa vichwa hawa.?mnakubalije kwamba wataifunga Simba?.simba hiii hii ya Juma Mgunda?.
Lazima tuwafariji wasije wakajinyonga bado tunawahitaji wakati huo tp mazembe anawasubiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…