wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Jamaa ni pro Israel sasa wanazi wa Iran wanampga vijembeHahahaaa kwa nini huyo jamaa anaandamwa sana humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni pro Israel sasa wanazi wa Iran wanampga vijembeHahahaaa kwa nini huyo jamaa anaandamwa sana humu?
Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu.
Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu.
Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino.
Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA.
Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya kubaki na kuishi Marekani huku wakipeperusha bendera za nchi walizotoka [au nchi za asili yao].
Upumbavu kama huu ndo unawafanya Wamarekani walio wengi kuunga mkono juhudi za Rais wa Marekani za kukabiliana na uhamiaji haramu.
Utapiganiaje istihaki ya kutaka ubaki na kuishi Marekani huku ukipeperusha bendera ya nchi zingine?
Kama unajivunia sana asili yako ya huko utokako, si urudi/ uende huko ukaishi?
Matendo kama hayo ndo yanasababisha wakose huruma za watu.
Watu wamehatarisha maisha yao ili tu waende kuishi na kufanya kazi Marekani halafu wakifika huko wanaanza kupeperusha mabendera ya mataifa mengine.
Uwendawazimu kabisa huo.
Wahamiaji haramu hawana haki yoyote ile ya kuendelea kubaki Marekani. Warudi tu huko makwao wawe wanalipa kodi huko huku wakipeperusha mabendera yao.
So disrespectful.
View: https://youtu.be/3ARSCXqDpGI?si=mrwqB5UUz2KPDkqc
TuliaKwa hiyo…?
Wapo wengi tu ila siwezi kuwatajaUnawajua wangapi ambao hawajarudi kuwaona ndugu zao?
Yes, wengi wao hawana hati sahihi ya kuishi huko na ndiyo maana dada zetu wengi walio huko wanajiuza kwa Nigerians na vijana wetu wakiiba barua za watu kutafuta checksUnazijua immigration statuses za wabongo waishio Marekani?