Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji200][emoji200][emoji200]Matamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
Waambieni wajikite kuboresha Hospitali ya "VICHAA" ya Mirembe maana kwa mara ya kwanza imetoa kitu hadimu.Matamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
CCM mkiambiwa mliteuwa kichaa ndiyo kuua chama?FITINA KWETU MWIKO...
FITINA DHIDI YA HAYATI NI UHARAMIA WA KUUA CHAMA
Napendekeza iboreshwe maana inaweza kumtibu "KICHAA" na baadaye akawa Rais wa nchi.hiyo ni hospitali kama ilivyo JKCI
Safi sanaItaboreshwa kwani ni sehemu ya kuboresha miundimbinu ya afya.
Wadau tumezama chimbo kutafuta faili hata kama lilitafunwa na panya tutalileta hivyo hivyo likiwa vipisi.Nashangaa Diallo bado ni kiongozi ndani ya CCM. Baada ya interview ile alipaswa kupewa adhabu mara moja otherwise utabakia mfano mbaya sana.
Wape hongeraMatamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
Hivi tuliwezaje kumpa kichaa nchi kwa miaka 5Matamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933