Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhh kwahy umeweka na picha kabisa kuthibitishaMkuu unacheza ngoma ya upupu.Dialo hakuongea kitu kipya, Mwendazake pamoja na mazuri aliyofanya , alikuwa na tatizo na afya ya akili.
View attachment 1850952
Asante kwa maoni yenu wabeba box msioridhika na mkipatacho huko mkitarajia hisani uteuzi.Matamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
hv hayo matamko yanaweza kuzuiya habari kuenea kama habari ni zaukweli?Tamko sio picha mkuu
Kasema kweliNashangaa Diallo bado ni kiongozi ndani ya CCM. Baada ya interview ile alipaswa kupewa adhabu mara moja otherwise utabakia mfano mbaya sana.
KwakweliFITINA KWETU MWIKO...
FITINA DHIDI YA HAYATI NI UHARAMIA WA KUUA CHAMA
Ilimtibu rais kichaa wa ccmItaboreshwa kwani ni sehemu ya kuboresha miundimbinu ya afya.
ukitibiwa unaendeleaje kuitwa mgonjwa?Ilimtibu rais kichaa wa ccmView attachment 1851024
Diallo alindweMatamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
Ukichaa hatakwepa.CCM mkiambiwa mliteuwa kichaa ndiyo kuua chama?
StupidMatamko dhidi ya mwenyekiti wa CCM Mwanza kuhusu kauli zake zilizomdhalilisha Hayati Magufuli zimeendelea kutolewa.
Wana Diaspora wanetoa tamko.
View attachment 1850933
Bado alikua chizi haifutiki hiyo,kwani mgonjwa wa ukimwi akitibiwa ukimwi huisha....chizi ni chizi tuukitibiwa unaendeleaje kuitwa mgonjwa?
Watarekebisha tu bwashee maana tundu lisu bado anahitaji tiba hiyo.Waambieni wajikite kuboresha Hospitali ya "VICHAA" ya Mirembe maana kwa mara ya kwanza imetoa kitu hadimu.