Wanachadema 50 Arusha wahamia CCM

Wanachadema 50 Arusha wahamia CCM

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifs ya kujenga political party,kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Mambo ya kizamani sana haya.
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wametazama rangi za paka badala ya uwezo wa paka kuwinda panya
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau😂😂😂😂
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Mambo ya kizamani kuhama vyama,
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Hizo ndo siasa za kijinga za ccm
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau😂😂😂😂
Anajaribu kutuhamisha kwenye mjadala wa kitaifa pia kimataifa, ilhali wenzake wote hadi akina Mwashambwa WANABUBUJIKWA wakiwa kwenye mjadala wa CDM.
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 dah acha wale posho siku kuu hii lazima watengeneze kazi za kujipatia fwedha
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
Lucas Mwashambwa wa kizanaki katika ubora wako.
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
Wangapi wa chawa wamehamia Chadema?
 
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.

Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.

Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "

Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
Walikuwa wanasema Magufuli ndiye alikuwa anawanua, Sijui zigo hili Sasahivi wanambebesha yupi maana mbeba mabaya yote hayupo;tuliwaambia humu chadema ilikuwa inajengwa na Dkt Slaa,baada ya tamaa za Mbowe kumfukuza Slaa na kumleta Lowassa ndio ulikuwa mwisho wa chadema,tunasubiria Mbowe na Lissu wagawane mbao uwe mwisho wa chadema 2025 sijui kama chadema itapata hata mbunge mmoja,wakimpata washukuru Mungu, Maana Sasahivi chadema inaelekea kibla,yangu macho.
 
Back
Top Bottom