Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Mambo ya kizamani sana haya.Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifs ya kujenga political party,kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Wametazama rangi za paka badala ya uwezo wa paka kuwinda panyaHii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Mambo ya kizamani kuhama vyama,Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Hizo ndo siasa za kijinga za ccmHii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.
Huko tanzania ndio siasa zinazowafaa mdidharau kabisa hiliHizo ndo siasa za kijinga za ccm
Anajaribu kutuhamisha kwenye mjadala wa kitaifa pia kimataifa, ilhali wenzake wote hadi akina Mwashambwa WANABUBUJIKWA wakiwa kwenye mjadala wa CDM.Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahauππππ
CCM kilichobakia ni Wizi wa kura na kuengua wagombea kutumia Mapolisi JW nk. Na hizi Cheap politics za maigizo .Mambo ya kizamani sana haya.
Na badoMambo ya kizamani kuhama vyama,
Bado nini? Kwani nani hapa chadema?Na bado
πππππ dah acha wale posho siku kuu hii lazima watengeneze kazi za kujipatia fwedhaHii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahauππππ
Lucas Mwashambwa wa kizanaki katika ubora wako.Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
Wangapi wa chawa wamehamia Chadema?Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw
Hivi hujui kuwa wameru na wamachame ni kabila moja ?Arusha ni kama Mbeya Wenyeji wanatawaliwa na Wageni
Arusha ya Wachaga na Mbeya mjini ni ya Wanyakyusa ππ₯
Walikuwa wanasema Magufuli ndiye alikuwa anawanua, Sijui zigo hili Sasahivi wanambebesha yupi maana mbeba mabaya yote hayupo;tuliwaambia humu chadema ilikuwa inajengwa na Dkt Slaa,baada ya tamaa za Mbowe kumfukuza Slaa na kumleta Lowassa ndio ulikuwa mwisho wa chadema,tunasubiria Mbowe na Lissu wagawane mbao uwe mwisho wa chadema 2025 sijui kama chadema itapata hata mbunge mmoja,wakimpata washukuru Mungu, Maana Sasahivi chadema inaelekea kibla,yangu macho.Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye kazi yake ni kukaa tu Daressalaam na kuisahau Arusha.
Wamesema hawa viongozi wa Chadema kazi yao ni kugombana tu,wanatuchanganya akili.
Hawana reform yoyote wanayotaka kufanya,wanataka tu kutupotezea muda,tumeamua ' kurudi nyumbani "
Hao watu viongozi wa Chadema hawana maarifa,hawana basic skills za kujenga Chama, au kuiongoza organization yoyote. Ni kupoteza muda kubaki Chadema.https://youtu.be/fMqnJCne7Bk?si=S6J_9-DbY14d_xHw