Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hata hao wabunge hamtapataYaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa
Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu.
Sio kuwa na uchungu na namna watanzania wanavyoonewa
Hata 2025 sidhani kama tutapata huo Ubunge
Sasa hata hao wabunge hamtapata
..kamuulize Samia, na Chongolo, maana wamejitokeza na kusema wanataka Katiba Mpya.