Wanachadema mbona mnakata tamaa mapema..?

Wanachadema mbona mnakata tamaa mapema..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Mbowe kutangaza tu kuwa atagombea tayari kuna wanachama mmetangaza kukiacha chama!, hata uvumilivu hamna!.

Kwani wapi amevunja sheria ya kwamba haruhusiwi kutangaza nia yakugombea..?

Hata hivyo si uchaguzi utafanyika akishinda huyo mnaemtaka ndo mtarudi ama!, hebu kaeni mpige kura, ili kura ziamue nani awe mwenyekiti wenu acheni kurukaruka!..

Mbona sisi chauma wazee wa ubwabwa hatukati tamaa..?😂

Au na nyinyi hamujiamini kuwa chaguzi zenu ni huru na haki..?😅
 
team Lissu wamepigwa na kitu kizito chenye ncha kali cha kichwa
 
Kuna CCM A na B.

Hakuna upinzani wa kweli huko juu kwa wanaojiita viongozi wa makamanda
 
-Mangi yangu siwezi achia uenyekiti ukizingatia miradi yangu mingi bado haijakamilika!
 
Mbowe kutangaza tu kuwa atagombea tayari kuna wanachama mmetangaza kukiacha chama!, hata uvumilivu hamna!.

Kwani wapi amevunja sheria ya kwamba haruhusiwi kutangaza nia yakugombea..?

Hata hivyo si uchaguzi utafanyika akishinda huyo mnaemtaka ndo mtarudi ama!, hebu kaeni mpige kura, ili kura ziamue nani awe mwenyekiti wenu acheni kurukaruka!..

Mbona sisi chauma wazee wa ubwabwa hatukati tamaa..?😂

Au na nyinyi hamujiamini kuwa chaguzi zenu ni huru na haki..?😅
Ndio maana wengine wetu tukaamua kuwa Nyuturo hatutaki mambo ya Vyama tunasimama na Nchi Mama Tanzania 🇹🇿 in Mbatia voice 👍🙌🤝
 
Back
Top Bottom