WanaCHADEMA mmesahau usaliti na uroho wa pesa aliotufanyia Zitto miaka ile kisa tu anamchafua hayati JPM?

WanaCHADEMA mmesahau usaliti na uroho wa pesa aliotufanyia Zitto miaka ile kisa tu anamchafua hayati JPM?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mmesahau ile miaka chama chetu kilivyokuwa na nguvu kiasi cha kutaka kukamata dola?

Zitto kwa tamaa ya pesa akatusaliti na kuanza kuweka mamluki ili tusipate ushindi. Mmesahau alivyohongwa na watu wa CcM na kuharibu chama chetu mpaka tukamtimua?

Huyu ni mtu anayejali pesa na matumbo yake. Kwa hiyo hata chuki kwa hayati JPM ni sababu alinyimwa madili ya kisiasa tu na analeta chuki.

Leo hii mnamuunga mkono kisa tu anamchafua hayati JPM? Msaliti ni msaliti tu.
 
eaa2c74c6643af4be501005467b1c964.png
 
Mmesahau ile miaka chama chetu kilivyokuwa na nguvu kiasi cha kutaka kukamata dola?

Zitto kwa tamaa ya pesa akatusaliti na kuanza kuweka mamluki ili tusipate ushindi. Mmesahau alivyohongwa na watu wa CcM na kuharibu chama chetu mpaka tukamtimua?

Huyu ni mtu anayejali pesa na matumbo yake. Kwa hiyo hata chuki kwa hayati JPM ni sababu alinyimwa madili ya kisiasa tu na analeta chuki.

Leo hii mnamuunga mkono kisa tu anamchafua hayati JPM? Msaliti ni msaliti tu.

Hakuna adui wa kudumu kwenye siasa. Umesahau Zitto alimuunga mkono mgombea urais wa Chadema na kumuacha wa kwake.
 
Zitto hajaungwa mkono kwenye huo usaliti wake bali ameungwa mkono kwenye ukweli aliosema kuhusu ufisadi aliofanya magufuli.
Kama umemind nenda kagale-gale kwenye kaburi la huyo muovu.

Hivi ni kwanini MaUvccm yako shallow kwenye kufanya reasoning namna hii???
 
Zitto hajaungwa mkono kwenye huo usaliti wake bali ameungwa mkono kwenye ukweli aliosema kuhusu ufisadi aliofanya magufuli.
Kama umemind nenda kagale-gale kwenye kaburi la huyo muovu.

Hivi ni kwanini MaUvccm yako shallow kwenye kufanya reasoning namna hii???
Huna akili zaidi ya kichwa chako kujaa makamasi.
 
Back
Top Bottom