Wanachadema wakataa chama chao kutekwa na kikundi cha Diasspora

Wanachadema wakataa chama chao kutekwa na kikundi cha Diasspora

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,358
Wanaojiita Watanzania waishio nje ya nchi wametangaza kutoa takrima kwa yeyote atakayeripoti habari ya kinachoitwa rushwa kuelekea Mkutano Mkuu wa Chadema Januari 21

Katika Tangazo linalosambazwa limeandikwa;

Ndugu Mjumbe, Mwanachama na mwananchi mpenda haki na Mabadiliko:
Fichua vitendo vya Rushwa kwenye Uchaguzi wa Tarehe 21 kwa kutuma ushahidi wa Rushwa kupitia WhatsApp no. ***************
Kiwango cha rushwa utachopewa utarejeshewa mara mbili kama zawaidi ya Ujasiri wako wa kutetea HAKI

Kampeni yetu ina discourage rushwa kwa namna yoyote. Tunataka viongozi wachaguliwe kwa vigezo, sio rushwa. DIASPORA tumetoa motisha kwa mtu yoyote atakaye tuletea ushahidi wa rushwa usio na shaka, atapewa zawadi. Tutampa mara mbili ya malipo ya hiyo rushwa. #KataaRushwa #SayNoCorruption

Mwisho wa Tangazo

Tangazo hili halina maana yoyote zaidi ya kutaka kuleta uasi, hofu kwa wanachama na kuchochea rushwa ili mgombea wanayemtaka apate kura kwa njia haramu.

Wanachama wa Chadema na wajumbe wa mkutano Mkuu wameshangazwa na jinsi kikundi hicho cha watu wanaojiita Diasspora kinavyotapatapa kujiingiza katika uchaguzi wa Chadema

Kinachozidi kushangaza ni kwamba atakayeripoti kwao rushwa kikundi hicho kitamrudishia mara mbili kitu ambacho pia ni rushwa.

Akizungumza na Taifa leo asubuhi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema kuna kikundi cha watu 30 kinachojiita Diasspora na kinatumika kutukana Chama mitandaoni kuanzia asubuhi hadi jioni.

Haijajulikana lengo hasa la kikundi hiki ni nini, na wana maslahi gani katika mbinu wanazotumia kutaka kuteka Chadema kupitia mlango wa nyuma.

Kikundi hiki mpaka sasa mbali na kutumia mitandao kutukana Chadema na viongozi wake lakini pia wamekuwa wakifadhili na kurubuni baadhi ya wanachama mikoani kutangaza wanamuunga mkono Tundu Lissu na kumkashifu Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbali na hujuma mbalimbali zinazofanyika mpaka sasa tathmini inaonyesha Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura.
 

Attachments

  • Screenshot_20250111_054928_X.jpg
    Screenshot_20250111_054928_X.jpg
    360.2 KB · Views: 5
Mbona yeye aliwahi kuruhusu Chadema kitekwe na kina Lowasa na Sumaye, ambao walitumwa na Kikwete kuja kuvuruga mipango ya wapinzani kushika dola mwaka 2015?
Walikiteka vipi? Lissu chadema anataka aipeleke Maria space
 
Wanaojiita Watanzania waishio nje ya nchi wametangaza kutoa takrima kwa yeyote atakayeripoti habari ya rushwa kuelekea Mkutano Mkuu wa Chadema Januari 21

Katika Tangazo linalosambazwa limeandikwa;

Ndugu Mjumbe, Mwanachama na mwananchi mpenda haki na Mabadiliko:
Fichua vitendo vya Rushwa kwenye Uchaguzi wa Tarehe 21 kwa kutuma ushahidi wa Rushwa kupitia WhatsApp no. ***************
Kiwango cha rushwa utachopewa utarejeshewa mara mbili kama zawaidi ya Ujasiri wako wa kutetea HAKI

Kampeni yetu ina discourage rushwa kwa namna yoyote. Tunataka viongozi wachaguliwe kwa vigezo, sio rushwa. DIASPORA tumetoa motisha kwa mtu yoyote atakaye tuletea ushahidi wa rushwa usio na shaka, atapewa zawadi. Tutampa mara mbili ya malipo ya hiyo rushwa. #KataaRushwa #SayNoCorruption

Mwisho wa Tangazo

Wanachama wa Chadema na wajumbe wa mkutano Mkuu wameshangazwa na jinsi kikundi hicho cha watu wanaojiita Diasspora kinavyotapatapa kujiingiza katika uchaguzi wa Chadema

Kinachozidi kushangaza ni kwamba atakayeripoti kwao rushwa kikundi hicho kitamrudishia mara mbili kitu ambacho pia ni rushwa.

Akizungumza na Taifa leo asubuhi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema kuna kikundi cha watu 30 kinachojiita Diasspora na kinatumika kutukana Chama mitandaoni kuanzia asubuhi hadi jioni.

Haijajulikana lengo hasa la kikundi hiki ni nini, na wana maslahi gani katika mbinu wanazotumia kutaka kuteka Chadema kupitia mlango wa nyuma.

Kikundi hiki mpaka sasa mbali na kutumia mitandao kutukana Chadema na viongozi wake lakini pia wamekuwa wakifadhili na kurubuni baadhi ya wanachama mikoani kutangaza wanamuunga mkono Tundu Lissu na kumkashifu Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbali na hujuma mbalimbali zinazofanyika mpaka sasa tathmini inaonyesha Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura.
Saccos ya machame....hampati kuta nyie...mnapoteza muda..
 
Watanganyika wote nendeni kwa Mwamposa awafanyie maombi muondokane na undezi wa kuwa koloni la zanzibar tena kwa nguvu ya mwanamke! What a shame!
 
Lissu mpaka sasa ameshawavuruga wala rushwa walioko CCM na CDM yenyewe, hapo bado hajatangazwa kuwa ndiye mshindi......
 
Wanaojiita Watanzania waishio nje ya nchi wametangaza kutoa takrima kwa yeyote atakayeripoti habari ya kinachoitwa rushwa kuelekea Mkutano Mkuu wa Chadema Januari 21

Katika Tangazo linalosambazwa limeandikwa;

Ndugu Mjumbe, Mwanachama na mwananchi mpenda haki na Mabadiliko:
Fichua vitendo vya Rushwa kwenye Uchaguzi wa Tarehe 21 kwa kutuma ushahidi wa Rushwa kupitia WhatsApp no. ***************
Kiwango cha rushwa utachopewa utarejeshewa mara mbili kama zawaidi ya Ujasiri wako wa kutetea HAKI

Kampeni yetu ina discourage rushwa kwa namna yoyote. Tunataka viongozi wachaguliwe kwa vigezo, sio rushwa. DIASPORA tumetoa motisha kwa mtu yoyote atakaye tuletea ushahidi wa rushwa usio na shaka, atapewa zawadi. Tutampa mara mbili ya malipo ya hiyo rushwa. #KataaRushwa #SayNoCorruption

Mwisho wa Tangazo

Tangazo hili halina maana yoyote zaidi ya kutaka kuleta uasi, hofu kwa wanachama na kuchochea rushwa ili mgombea wanayemtaka apate kura kwa njia haramu.

Wanachama wa Chadema na wajumbe wa mkutano Mkuu wameshangazwa na jinsi kikundi hicho cha watu wanaojiita Diasspora kinavyotapatapa kujiingiza katika uchaguzi wa Chadema

Kinachozidi kushangaza ni kwamba atakayeripoti kwao rushwa kikundi hicho kitamrudishia mara mbili kitu ambacho pia ni rushwa.

Akizungumza na Taifa leo asubuhi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema kuna kikundi cha watu 30 kinachojiita Diasspora na kinatumika kutukana Chama mitandaoni kuanzia asubuhi hadi jioni.

Haijajulikana lengo hasa la kikundi hiki ni nini, na wana maslahi gani katika mbinu wanazotumia kutaka kuteka Chadema kupitia mlango wa nyuma.

Kikundi hiki mpaka sasa mbali na kutumia mitandao kutukana Chadema na viongozi wake lakini pia wamekuwa wakifadhili na kurubuni baadhi ya wanachama mikoani kutangaza wanamuunga mkono Tundu Lissu na kumkashifu Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbali na hujuma mbalimbali zinazofanyika mpaka sasa tathmini inaonyesha Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura.
Hawa Diaspora warudi nchini Tanzania tujenge nchi yetu. Kama ni wazalendo halisi na Wana pesa, waje wawekeze nchini,waajiri WATANZANIA ili kukuza uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom