Wanachadema wakataa chama chao kutekwa na kikundi cha Diasspora

Wanachadema wakataa chama chao kutekwa na kikundi cha Diasspora

Lissu kwa mbowe tena? Nani atampa kura lisssu ndani ya chadema? Chama chao hawakitaki tena?
Mbowe uchaguzi huru na haki hawezi kumshinda Lisu ni uchakachuaji pekee ni wozi wa kura pekee utampa Mbowe masimango na Dalali wenje ushindi, pesa alizoiba Mbowe sasa zinatumika kuununua uenyekiti kwa njia haramu
 
Mbowe ni mwizi kama wezi wengine sasa ataiba kura apore ushindi wa lisu, wizi wa mbowe hautaishia kwenye pesa ya chadema peke yake ni mwizi wa kila kitu
 
Mbowe ametengeneza kamati nyingi za hovyo kwa ajili ya kumhujumu kumdhoofisha Lisu na kikukwa na kipaumbele ni kupora ushindi wa Lisu kwa kuiba kura kufanya uchakachuaji mapema ni vikundi vinalipwa pesa nyingi na mbowe kupitia zile pesa alizoiba kwenye Hazina ya chadema, angalau sasa chawa nao wanalula pesa za wizi wamezigawana tofauti na mwanzo mbowe alikuwa akila peke yake
 
Chawa wa mbowe wanamshukuru Lisu kwa pressure yake kwa mbowe kwani imewaletea ulaji toka kwa mbowe, kwani bila pressure za lisu wasingekuwa wanakula pesa za wizi toka kwa mbowe
 
Wanaojiita Watanzania waishio nje ya nchi wametangaza kutoa takrima kwa yeyote atakayeripoti habari ya kinachoitwa rushwa kuelekea Mkutano Mkuu wa Chadema Januari 21

Katika Tangazo linalosambazwa limeandikwa;

Ndugu Mjumbe, Mwanachama na mwananchi mpenda haki na Mabadiliko:
Fichua vitendo vya Rushwa kwenye Uchaguzi wa Tarehe 21 kwa kutuma ushahidi wa Rushwa kupitia WhatsApp no. ***************
Kiwango cha rushwa utachopewa utarejeshewa mara mbili kama zawaidi ya Ujasiri wako wa kutetea HAKI

Kampeni yetu ina discourage rushwa kwa namna yoyote. Tunataka viongozi wachaguliwe kwa vigezo, sio rushwa. DIASPORA tumetoa motisha kwa mtu yoyote atakaye tuletea ushahidi wa rushwa usio na shaka, atapewa zawadi. Tutampa mara mbili ya malipo ya hiyo rushwa. #KataaRushwa #SayNoCorruption

Mwisho wa Tangazo

Tangazo hili halina maana yoyote zaidi ya kutaka kuleta uasi, hofu kwa wanachama na kuchochea rushwa ili mgombea wanayemtaka apate kura kwa njia haramu.

Wanachama wa Chadema na wajumbe wa mkutano Mkuu wameshangazwa na jinsi kikundi hicho cha watu wanaojiita Diasspora kinavyotapatapa kujiingiza katika uchaguzi wa Chadema

Kinachozidi kushangaza ni kwamba atakayeripoti kwao rushwa kikundi hicho kitamrudishia mara mbili kitu ambacho pia ni rushwa.

Akizungumza na Taifa leo asubuhi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema kuna kikundi cha watu 30 kinachojiita Diasspora na kinatumika kutukana Chama mitandaoni kuanzia asubuhi hadi jioni.

Haijajulikana lengo hasa la kikundi hiki ni nini, na wana maslahi gani katika mbinu wanazotumia kutaka kuteka Chadema kupitia mlango wa nyuma.

Kikundi hiki mpaka sasa mbali na kutumia mitandao kutukana Chadema na viongozi wake lakini pia wamekuwa wakifadhili na kurubuni baadhi ya wanachama mikoani kutangaza wanamuunga mkono Tundu Lissu na kumkashifu Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbali na hujuma mbalimbali zinazofanyika mpaka sasa tathmini inaonyesha Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura.
Baharia imara hujulikana wakati wa dhoruba.

Sasa Kuna baharia anaepigiwa vuvuzela alikimbia wakati wa dhoruba,mwenzie aliyekituliza chombo eti anaonekana hafai.

Wanampima Lisu wakati wa amani aliyotuliza Mbowe na Samia harafu wanaojiita viongozi 🤣🤣
 
Hao diaspora wenye muda kupigizana makelele na siasa za bongo almost ni jobless.
Mtu aliye busy na kazi +family hawezi kushabikia ujinga wa politiki za huku kipawa.
Endeleeni kudanganywa, Lissu atakula chake anayeyuka.
Wanajuana hao, vingine hadithi tu.
 
Hao diaspora wenye muda kupigizana makelele na siasa za bongo almost ni jobless.
Mtu aliye busy na kazi +family hawezi kushabikia ujinga wa politiki za huku kipawa.
Endeleeni kudanganywa, Lissu atakula chake anayeyuka.
Wanajuana hao, vingine hadithi tu.
Umeeleza jambo kubwa sana.Asante
 
Mleta mada na Chawa wa Mbowe wote mna upeo mdogo sana wa kimawazo. Mnatafuta namna ya kuwagawa watu ili kuzuia nguvu ya mabadiliko ndani ya Chadema.

Diaspora wakisema wanapamba na rushwa kwa vitendo, nyinyi mnaumia nini?
Diaspora wanaodaiwa 'kutukana' mitandani, 'matusi' yao yanawezaje kuteka Chama?
Kwanini Diaspora wachukiwe sasa baada ya kusema wanamuunga mkono Lissu?
 
Mleta mada na Chawa wa Mbowe wote mna upeo mdogo sana wa kimawazo. Mnatafuta namna ya kuwagawa watu ili kuzuia nguvu ya mabadiliko ndani ya Chadema.

Diaspora wakisema wanapamba na rushwa kwa vitendo, nyinyi mnaumia nini?
Diaspora wanaodaiwa 'kutukana' mitandani, 'matusi' yao yanawezaje kuteka Chama?
Kwanini Diaspora wachukiwe sasa baada ya kusema wanamuunga mkono Lissu?
Inasikitisha Sana, Leo chadema wanaomba wimbo uleule wa ccm, wakiambiwa mambo ya rushwa, let ushahidi, Sijui nn.Dah pole Sana, endeleeni kukomaa shingo...
 
Kwani kazi ni siasa pekee ? Hata Mbowe akipora ushindi ajue chadema yake na Dalali wenje inaenda kuwa kama NCCR TLP na CUF ya Lipumba
Haahaa eti wenje atakuwa mwenyekiti wa kamati ya nidhamu na maadili chadema😂😂
 
Back
Top Bottom