SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
tena kuna kila dalili baada ya mamayenu kukimbizwa madarakani na wana mtandao wa kifisadi mgomgea wenu atakuwa anayefuata ni membe au rizione, yaani nyie Sukuma gang ni wakuja na washamba flani…...
Na nyie mgombea wenu wa chadema ni nani atakua[emoji1787][emoji1787]