Tume ya madini, kama mmemsikia majibu ya waziri Mkuu aliyotoa Bungeni leo Aprili 18, 2024, basi msiwe na kigugumizi kuhusu kuifuta PL/6973/2011.
Sababu za kuomba ifutwe na kukubaliana na kauli ya waziri Mkuu hizi hapa:
1. Ilisha kwisha muda wake.
2. Ishapewa au kutengewa wachimbaji wadogo.
3. IPO kwenye makazi ya watu na taasisi za serikali.
4. Wanao chimba kwenye maeneo yaliyo ndani ya hiyo PL hawalipi mirahaba Kwa kigezo kuwa hawana leseni.
5. Hiyo PL hajawahi kulipiwa na Ina madeni na malimbikizo ya mamilioni .
6. Walioomba maeneo ambao ni wachimbaji wadogo, wamezuiliwa kupewa na kulipia leseni zao, sababu kubwa ikiwa ni kusubiria PL ifutwe.