Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari,
Kuna watu wanajua ila wanajisahaulisha kuwa nchi za Magharibi ndizo zinazotusogeza mbele au kutusapoti kwenye sekta ya Afya na Elimu kwa kiasi kikubwa.
Hii iko wazi miaka na miaka.
Watu wa Magharibi hakuna kitu wanajali kama Demokrasia ambayo imeminywa kwa miaka 5 yote ya Magufuli. Akaachia miezi 2 ya campaign na jana umefanyika uchaguzi wa kiini macho.
CCM wameshinda kwa kishindo. Hiki kishindo haramu kitawafikia sponsors huko Ng'ambo na ndipo watajitoa kusapoti mambo muhimu. Hapo tutaanza kuuziwa huduma zote za afya kwa bei kamili. Hapo ndipo elimu yetu itatikisika.
Uchumi utayumba, hapa mwananchi wa kawaida, mtumishi wa umma wa kawaida, mfanyabiashara mdogo na wa kati, mkulima n.k lazima ataisoma.
Tushangilie na kupongezana ila tutambue kuwa kikija kipindi kigumu hao viongozi wakuu hawatapata taabu.
Kuna watu wanajua ila wanajisahaulisha kuwa nchi za Magharibi ndizo zinazotusogeza mbele au kutusapoti kwenye sekta ya Afya na Elimu kwa kiasi kikubwa.
Hii iko wazi miaka na miaka.
Watu wa Magharibi hakuna kitu wanajali kama Demokrasia ambayo imeminywa kwa miaka 5 yote ya Magufuli. Akaachia miezi 2 ya campaign na jana umefanyika uchaguzi wa kiini macho.
CCM wameshinda kwa kishindo. Hiki kishindo haramu kitawafikia sponsors huko Ng'ambo na ndipo watajitoa kusapoti mambo muhimu. Hapo tutaanza kuuziwa huduma zote za afya kwa bei kamili. Hapo ndipo elimu yetu itatikisika.
Uchumi utayumba, hapa mwananchi wa kawaida, mtumishi wa umma wa kawaida, mfanyabiashara mdogo na wa kati, mkulima n.k lazima ataisoma.
Tushangilie na kupongezana ila tutambue kuwa kikija kipindi kigumu hao viongozi wakuu hawatapata taabu.