Wanachama wa JF

Rais awe pascal manyala waziri mkuu awe mzizimkavu
 
Hapo pa spika wa bunge tu ndio pamenichefua,ningekuwa nagombana nae Kila siku.
 
Waziri wa shida na mipango ya ghafla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waziri Wa Mwendokasi Joseverete cjui [emoji37][emoji37]
 
Deo kisandu mmeshindwa kumpa wizara wakuu?
 
Katibu mhariri wa umbea awe
Warumi
 
Raisi mshana Jr,
makamu kiranga,
Napoleon waziri wa mahusiano na jinsia,
Spika wa bunge Dinazarde, GENTAMYCINE Waziri wa mambo ya ndani,
Waziri wa michezo na burudani bitoz,
Waziri wa elimu Faiza fox,
Waziri wa afya mulhat mpunga
 
Raisi mshana Jr,
makamu kiranga,
Napoleon waziri wa mahusiano na jinsia,
Spika wa bunge Dinazarde, GENTAMYCINE Waziri wa mambo ya ndani,
Waziri wa michezo na burudani bitoz,
Waziri wa elimu Faiza fox,
Waziri wa afya mulhat mpunga
Huyu waziri wa afya sijamkubali kukaa nafasi hiyo aindolewe haraka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…