Pole jikaze dadaa, mambo yatabadilika Putin atashinda Vita.
Na akishinda atakutumia na ya kutolea
Na log off Z
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kati ya watu wanaoteseka na kipigo anachopokea Russia huyo jamaa atakuwa namba MojaPole jikaze dadaa, mambo yatabadilika Putin atashinda Vita.
Na akishinda atakutumia na ya kutolea
Na log off Z
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sawa nasoma lakini nikitafuta kwenye vyanzo vingine asilimia kubwa nakuta ni issue ya kubumba!Ndio maana huyo jamaa hapati wachangiaji siku hizi!Uzuri unazisoma hizo hizo habari na lengo lake linatimia la kukupasha kinachoendelea. Swala la kusema za kubumba au la hilo linabaki kwa serikali ya kichwa chako kuamua.
Mkuu swala hapa ni habari imefika,wachangie au wasichangie hilo sidhani kama ni la msingi sana.Kwakuwa unaangalia angle ya uchangiaji wa comments,basi angalia pia na wangapi wameview mada zake na hapo ndipo penye lengo kuu la kusoma alichokileta.Sawa nasoma lakini nikitafuta kwenye vyanzo vingine asilimia kubwa nakuta ni issue ya kubumba!Ndio maana huyo jamaa hapati wachangiaji siku hizi!
Lbda "Nuke"Najaribu kuwaza kete gani nyingine anaweza kuwa nayo Putin, maana hii operation imemtokea puani.
Sasa hata kama umeview,na habari ni ya uongo,inakuwa na faida gani?Ukisema jambo la uongo humu JF,unafaidika Nini?Mkuu swala hapa ni habari imefika,wachangie au wasichangie hilo sidhani kama ni la msingi sana.Kwakuwa unaangalia angle ya uchangiaji wa comments,basi angalia pia na wangapi wameview mada zake na hapo ndipo penye lengo kuu la kusoma alichokileta.
Haipasoniki misileEti silaha aliyobakiza ni nuclear,Hebu Tupe ushahidi wa Hilo wewe unayejua silaha zote za Russia!
Haipasoniki misileUna upungufu wa akili!
Tatizo naloliona kwako ni kwamba unakereka na mada zake kwakuwa analeta kile ambacho hupendi kukisikia basi.Unataka kuniambia wote Pro Russia hapa wanaleta habari za kweli? Mbona hujawahi kukosoa habari zao,jibu ni simple tu kwakuwa hao wanakuletea kile akili yako inataka kusikia na unakifurahia.Sasa hata kama umeview,na habari ni ya uongo,inakuwa na faida gani?Ukisema jambo la uongo humu JF,unafaidika Nini?
Bora wafanye propaganda wanaopigana Ili kutokana morali,Sasa sisi wanaJF tukianza kutengeneza habari za uongo,Zina faida gani?
Nimemuona huyu na habari za uongo zaidi ya mara 4!Wewe kama umeona mwingine mchane Ili tuwe na jukwaa safi!Wala sio kesi!Tatizo naloliona kwako ni kwamba unakereka na mada zake kwakuwa analeta kile ambacho hupendi kukisikia basi.Unataka kuniambia wote Pro Russia hapa wanaleta habari za kweli? Mbona hujawahi kukosoa habari zao,jibu ni simple tu kwakuwa hao wanakuletea kile akili yako inataka kusikia na unakifurahia.
Sawa nasoma lakini nikitafuta kwenye vyanzo vingine asilimia kubwa nakuta ni issue ya kubumba!Ndio maana huyo jamaa hapati wachangiaji siku hizi!
Siwezi kukutag maana nakujua umejitoa ufahamu!Hahaha! Kumbe unanijadili, siku nyingine uwe unanitag pale unanijadili, safi sana kumbe sindano inawaingia, aisei takbirr......mtakoma yaani, kejeli zimepungua, vilianzia Crimea vitaishia Crimea....
Siwezi kukutag maana nakujua umejitoa ufahamu!
Huna akili timamu!Mimi nimeshindikana hata kwa Warusi na Waarab asili kule Quora, sembuse nyie Waarab wa kuiga hapo Bongo na mikanzu yenu....
Kwa taarifa yako Zele ameanza ziara Zelensky azuru mojawapo wa miji iliyokombolewa