Wanachama wa NCCR waliohamia CDM waanzilishi wa fujo & matengano CDM

Wanachama wa NCCR waliohamia CDM waanzilishi wa fujo & matengano CDM

Wakati huo Wewe ulikuwa unalisha nguruwe Machame

Chadema umeijua Juzi tu ndio sababu Mbowe anawadanganya alianzisha Chadema 😂😂😂
Machame sijawahi fika na mimi niko mjini hapo wakati wewe unafuta kamasi kwa ngumi kwenu huko wang'ingombe umekuja mjini hapa tunakuona na suruali yako bwanga leo kila siku unasimulia utafikiri huu mji umeujenga wewe mshamba mmoja wewe.
 
Machame sijawahi fika na mimi niko mjini hapo wakati wewe unafuta kamasi kwa ngumi kwenu huko wang'ingombe umekuja mjini hapa tunakuona na suruali yako bwanga leo kila siku unasimulia utafikiri huu mji umeujenga wewe mshamba mmoja wewe.
Sasa kwanini huelewi Tuntemeke Sanga alitumia Katiba ya NCCR Mageuzi kuanzisha Chadema kupitia Kwa Hayati Amani 🐼
 
1. Lissu A
2. G Lema
3. Msigwa

Ngongo kwasasa Kizimkazi
Wewe mwenyewe ulitaka kutimka chadema hapa kwa sababu zilezile wanazozitoa wenzako sasa. Tulia sultani ashughulikiwe
 
Back
Top Bottom