DAGAA WA MWANZA
Senior Member
- Jan 27, 2019
- 169
- 465
- Thread starter
-
- #21
Ni ulevi tu wa bundle unakusumbuaHapo maendeleo ya chato yanaletwa na Mh.Rais.Yeye hachangii kitu zaidi ya kujifanya naye humo.
Nashukuru jimboni kwangu hakuna ujinga wa hivi.Yaani mtu vitendo havionekani jimboni ila kisa kaivimbia serikali ndo nimpe kura! Pumbavu!
Kisa post yangu haijakupendeza,pole! Ila ndo uhalisia huo.Ni ulevi tu wa bundle unakusumbua
Hajaivimbia serikali,,kuna vibaka nasikia walishusha bendera zake,,akawafokea sijui,,wakamshitaki,,sasa sijui nasikia akakamatwa,,sijui ikawaje tena,nukasikia sijui,anadai waliomshushia bendera,waje hapa,,Hapo maendeleo ya chato yanaletwa na Mh.Rais.Yeye hachangii kitu zaidi ya kujifanya naye humo.
Nashukuru jimboni kwangu hakuna ujinga wa hivi.Yaani mtu vitendo havionekani jimboni ila kisa kaivimbia serikali ndo nimpe kura! Pumbavu!
Kama ile mbaula niliisikia tu kwenye kuunga juhudi. Yaani katika miaka mitano bungeni anasikika dakika ya tisini akiunga juhudi, pumbavu kabisa.Hongera sana kiongozi Dada Husna. Sijui CDM wanakosea wapi, wale kina mama Waheshimiwa waliounga juhudi sikuwa kusikia hata sauti zao mjengoni ama nje.
Ufire wake hauna faida yoyote kwa wananchi.Aliyeibadilisha Chato ni Mkuu mwenyewe. Na litakuwa jambo la ajabu sana kama wanachato wataichagua CDM over CCM.Hajaivimbia serikali,,kuna vibaka nasikia walishusha bendera zake,,akawafokea sijui,,wakamshitaki,,sasa sijui nasikia akakamatwa,,sijui ikawaje tena,nukasikia sijui,anadai waliomshushia bendera,waje hapa,,
Sijui tena ikawaje,,ghafla kawa moto kuzidi bibi titi,,
Huyu mama ni fire..
wewe mnywa maniiHuyo ni mnywa gongo
Sio konyagi na bangi!Huyo ni mnywa gongo
Sio konyagi na bangi!
wewe mnywa manii
Chadema weupe hawawez kujua hili watashangaa tu hollaMimi naamini moyoni hata Mr President anamkubali huyu mama na keshawapa warning wasimguse kwani keshapata coverage kubwa sana. Atafanya kila namna aonane nae na amuhakikishie uchaguzi utakuwa fair (matokeo tu hayatakuwa fair). Magu anapenda watu wenye msimamo mkali plus ule weupe wake basi ndio kamaliza kila kitu. Atamtangazia dau kuliko la zile Tanzanite za Mmasai! Asipofika bei atabaki kumu admire tu kwa macho!
Kitakachotikezea next: Atatokezea dada wa CCM mkoa ulio stronghold ya Chadema na yeye atajifanya ana mikwala kama ya Husna. Watch this space!
Kwani Mbowe ndio anawaruhusu? Maana yule wa Kawe nae inasemekana anapuliza na kutumia pombe kali?Muulize Mbowe
Wanaangalia wowowoHongera sana kiongozi Dada Husna. Sijui CDM wanakosea wapi, wale kina mama Waheshimiwa waliounga juhudi sikuwahi kusikia hata sauti zao mjengoni ama nje.
Mlaumuni mwenyekiti wenu anaeweka watu kwa vigezo vya nya.. PuKama ile mbaula niliisikia tu kwenye kuunga juhudi. Yaani katika miaka mitano bungeni anasikika dakika ya tisini akiunga juhudi, pumbavu kabisa.
Kwani Mbowe ndio anawaruhusu? Maana yule wa Kawe nae inasemekana anapuliza na kutumia pombe kali?
Wanachato tunahitaji muwakilishi wa wananchi mwenye busara hatuhitaji MwnaharakatiNimemsikiliza huyu mama aisee anafaa kabisa kuwa mtumishi wa wananchi siyo muoga na mchumia tumbo atawafaa Wanachato.
Una maana naye ana rafiki wa aina ya Bulaya na anakula majani?Nimemsikiliza huyu mama aisee anafaa kabisa kuwa mtumishi wa wananchi siyo muoga na mchumia tumbo atawafaa Wanachato.