Mara baada ya Twaha Mwaipaya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu Chadema na aliyekuwa mwenezi wa Bavicha katika uongozi uliopita kuenguliwa katika kinyang'anyiro hiko wanachedema mbalimbali kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wameeleza hisia zao.
Hao chadema mnawaonea bure... Anayevuruga chaguzi nchini ndo huyo huyo anawavuruga chadema.
Muhimu ni kusubiri awamu nyingine wapinzani wa ukweli wajitokeze washirikiane na wananchi kujenga chama mbadala!