Wanachitchat kujeni hapa

Huyu mfamasia hana nia nzuri huyu[emoji3][emoji3]hawa wafamasia wa siku hizi sijui wana nini.
Yupo mwingine alimpa dozi ya vidonge vya amoxylin mtoto wa miaka 3,et 2×3[emoji15] tukasema ya leo ni hatari,tukampa kidonge kimoja tu ila alivolegea hatukutudia tena[emoji1] [emoji1] watatuua hawa wafamasia
Pole Dina wee utapona tyu
 
Labda nakunywa viwili kweli,,ntauliza baadae maana naona wenge tu hap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…