kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Hadi miaka ya 1500, wanasayansi walidhani kwamba kusimama kwa uume kwa wanaume kulisababishwa na hewa ambayo ilijazwa kwenye uume na mwili wa mwanaume kupitia mbinu zisizojulikana.
Bila shaka, wanasayansi hawakuruhusiwa kufanyia upasuaji mwili wa binadamu kwa sababu kanisa katoliki lililaani sana wazo hili kwa kuwa mwili uliokuwa umefanyiwa upasuaji eti ungeonekana mbaya sana wakati wa kuwasili mbinguni.
Lakini kulikuwa na mtu mmoja aliyefanya upasuaji kwa siri. Na alikuwa ni yuleyule mtu aliyefafanua kwa usahihi kusimama kwa uume kwa mwanaume kutokana na maarifa yake ya kina ya anatomia na akili yake kubwa, na ndiye alikuwa wa kwanza kupata jibu hili kwa usahihi.
Mtu huyo ni Leornad Da Vinci
Bila shaka, wanasayansi hawakuruhusiwa kufanyia upasuaji mwili wa binadamu kwa sababu kanisa katoliki lililaani sana wazo hili kwa kuwa mwili uliokuwa umefanyiwa upasuaji eti ungeonekana mbaya sana wakati wa kuwasili mbinguni.
Lakini kulikuwa na mtu mmoja aliyefanya upasuaji kwa siri. Na alikuwa ni yuleyule mtu aliyefafanua kwa usahihi kusimama kwa uume kwa mwanaume kutokana na maarifa yake ya kina ya anatomia na akili yake kubwa, na ndiye alikuwa wa kwanza kupata jibu hili kwa usahihi.
Mtu huyo ni Leornad Da Vinci