Wanachoamini wanasayansi wa zamani kuhusu kusimama kwa uume

Wanachoamini wanasayansi wa zamani kuhusu kusimama kwa uume

Haha hahah kumbe Wakatoliki walikuwa makolo aisee, mbinguni zinaingia roho au inaingia miili?
hapo vipi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Mathayo 18:8
Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.
 
hapo vipi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Mathayo 18:8
Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.
Kaka zama zile agano la kale lilishika hatamu

Niletee na andiko la agano la kale
 
Back
Top Bottom