sikwedawaz
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 315
- 273
hapo vipi πππππHaha hahah kumbe Wakatoliki walikuwa makolo aisee, mbinguni zinaingia roho au inaingia miili?
Mathayo 18:8
Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.