sikwedawaz
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 315
- 273
hapo vipi πππππHaha hahah kumbe Wakatoliki walikuwa makolo aisee, mbinguni zinaingia roho au inaingia miili?
Kaka zama zile agano la kale lilishika hatamuhapo vipi πππππ
Mathayo 18:8
Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.
Nmekuruhusu boss, afu ntumie pm πhujaruhusu bado nkitaka kuzoom naambiwa kumradhi π
ukatoliki haukuwepo kwenye agano la kale kwani hiyo story ni ya agano la kale????Kaka zama zile agano la kale lilishika hatamu
Niletee na andiko la agano la kale
hadi nimesusa ndo unaruhusuNmekuruhusu boss, afu ntumie pm π
Usisuse bhana πhadi nimesusa ndo unaruhusu
Mb zimekata πUsisuse bhana π
Fungua pm nkutumie vochaMb zimekata π
π€£π€£π€£π€£π€£ππΎππΎππΎππΎππΎππΎbasi nimeshindwaFungua pm nkutumie vocha
PM imekuogopesha ππ€£π€£π€£π€£π€£ππΎππΎππΎππΎππΎππΎbasi nimeshindwa
naona kam upo serious vileπππππΎPM imekuogopesha π
Ndio niko serious ila sina madhara kwahy kuwa na amaninaona kam upo serious vileπππππΎ
KamasutraMe nasomaga love story au porno graph books
Hua wanasema sasaNdio niko serious ila sina madhara kwahy kuwa na amani
Naomba niamini mmHua wanasema sasa
sidanganyiki ng'oooNaomba niamini mm
Dah nimelia sana πsidanganyiki ng'ooo
nimefeel kukusaidia kuliaπ₯π₯Dah nimelia sana π
Tupeane polenimefeel kukusaidia kuliaπ₯π₯