Uchaguzi 2020 Wanachofanya CCM na Magufuli ni udhalilishaji kwa Watoto

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
6,710
Reaction score
9,063
Hayo yaliyofanywa na CCM Mbeya na Magufuli ni Uzalilishaji na Ukiukaji wa Haki ya Mtoto.

Angalia huyu mtoto anavozalilishwa mbele ya umati huu. Badala ya Mtoto kuwa darasani amekodishwa na Serikali ya CCM kumburudisha Magufuli na kuvutia umati kwene Kampeni.

Shame on you CCM.

 
Haina namna LAZIMA tkubali kuwa hapa ndipo tuliposfikishwa na serikali ya awamu ya 5 😢😢😢
 
Ni kosa kubwa sana hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…