Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Acha ushamba, kuna tatizo gani wakifanya kampeni??
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.
Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.