mh,me cjui hata nampendea nini make kila cku ananibore bt bdo nampenda tu. . .
Nampenda mwanaume nikimpenda!
Salut wana jf.. Mara nyingi nimekua nikifanya utafiti ili kujua ni nimi hasa kinacho weza kumfanya mwanamke ampende mwanaume. Na zifwatazo ni sababu kulingana na uzito kila moja:- 1. Handsomity(uweledi) 2. Kimo/urefu wa mtu-tafiti zinaonyesha wanaume warefu wana chance kubwa ya kupendwa kuliko wafupi 3. Fedha- wanawake wengi wamekua wakiangalia pesa wenyewe wanasema no money no honey/love. Wewe unalionaje hili.. Funguka toa sababu za kumpenda mwanaume kwa wanawake na kwa wanaume toa sababu zilizopelekea wewe kupendwa.
Mi namtaka YEYE tu.
Maria Roza kwa mtazamo huo nachelea kusema hujawahi kupenda!Pesa ni kila kitu
Nampenda mwanaume nikimpenda!
Du nampenda mwanaume mrefu mweusi charming handle with care kwenye mkwanja tunashare ila percentage inategemea nani ana income zaidi
AshaDii, huyo unae mpenda kwa namna hiyo si alianza kukuvutia kwanza? Basi twambie unavutiwa na vigezo gani mfano. Nadhani ndio suali la mtoa mada (kama sikosei)Tumeumbwa wanadamu tofauti tofauti, kuna vitu huwezi eleza hata hujitahidi namna gani.... Kuna mtu unakuta wampenda hata ukiulizwa kwanini unajikuta tu ukisema mie nampenda tu! Tofautisha kati ya kumpenda mtu na kumtamani, Ukimpenda mtu unakuwa unamenda yeye mengine ni ziada tu.... Inaweza kuwa the little things inaweza kua a smile, the way anaongea... expressions, kicheko, vyote hivo vikajumuisha the person you have fallen for na ambae wampenda. Ukizungumzia material things kama kigezo cha kupenda.... hio sio kweli, hayo sio mapenzi for ina mana visipokuwepo basi hata penzi halipo. Personally nimpendaye nampenda... the whole of him... haijalishi hana kitu ama anacho, it is him as a person I love.
Nampenda sana mkewangu mtarajiwa japokuwa bado sijampata
i believe you. Ni kweli kabisa huwa mnapenda kudanganywa na mwisho wake unakuwa mbaya. huwa hampendi kuambiwa ukweli au kutahadharishwa madhara ya baadhi ya vitu mnavyovifikiria.wee nidanganye danganye danganye tuuuu,ukininiambia ukweli nitaumia.mimi moyo ukilipuka tu,ndio hapo hapo.haijalishi uwe mfupi au mrefu,una kitambi au huna kitambi,uwe na na hela au uwe huna,hayo siangalii kabisa