Wanachopaswa kufanya CHADEMA baada ya Tamko la Polisi

TL pia anamoyo kama binadamu mwingine. Alipopigwa lisasi 16 hata pole hakupewa wakati hawa ndiyo wafariji wenyewe. Sasa aende uhuru moja kwa moja kwa lipi!!
 
Kwani umeambiwa ndege itatua msibani? Lissu atatua kwanza iwe kimya kimya au kwa mbwembwe haijalishi, halafu baadaye atakwenda msibani kama wengine. Tena hapo msibani hapatatosha wasipokuwa makini wajue Lissu sasa ni zaidi ya mwanasiasa.
 
Umetoa ushauri mzuri sana.... lissu anahitaji mapokezi sema huu msiba ni mkubwa sana..
Msiba mkubwa kwa nani? Sisi malofa na wapbavu bila ya kusahau Wapemba wahanga wa tukio la 27 Jan 201 hautuhusu. In fact siku ya saba tunachinja na kusheherekea Eid jwa hiyo sherehe juu ya sherehe.

By the way, kwa nini uwe ni msiba wakati mtu kaishi maisha beyond everyones expectations, ka achieve more than one would hope for, a life well and long lived.
Why mourn instead of celebrate his life! Hii tabia ka kuomboleza ni ukosefu wa shukurani kwa Muumba. Hata kama una smart phone chako kikifa baada ya miaka 5 na ushakitumia sana kwa online shopping hutakiwi usikitike!
 
Hivi kwa akili yako unaona kabisa policcm watamruhusu aende uwanjani au nyumbani kwa Mkapa? Thubutu!! Kumbuka wakati wa kampeni Lowassa alizuiliwa kwenda kumzika Kisumo, sasa huu ujio wa Lissu wakiruhusu aende uwanjani watu watahamishia masikio kwake! Hicho kitu serikali yangu haitaruhusu!
 
Wewe umekwenda na watanzania wote kutoa hiyo pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…