Wanachotamani na wanachoshikililia MATAGA ni Mbowe kuwapigia magoti jambo ambalo mpaka leo hawaamini kuwa halitokei kutoka kwa Mbowe

Wanachotamani na wanachoshikililia MATAGA ni Mbowe kuwapigia magoti jambo ambalo mpaka leo hawaamini kuwa halitokei kutoka kwa Mbowe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hawa watu kuanzia mwenyekiti wao wanaishi na nafsi zinazowatesa sana kwani wanajua kabisa kuna mtu wanamtesa, mtu asie na kosa wala hatia yoyote. Wanaumia na kuteseka sana wanapoona picha za Mbowe na wale washitakiwe wengine wanapoingia na kutoka mahakamani ila kwakuwa walishafanya kosa, hawana la kufanya bali kuishi na nafsi zinzowasuta.

Hivyo, ili wakwepa hii aibu, wanatamani sana kuona Mbowe anawapigia magoti jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana na ndion maana wanachukia sana kuona Mbowe anapongezwa kwa kusimama imara kutouza utu wake.

Anyway, muda ndio utathibitisha ni nani mnufaika wa kisiasa wa hii kesi.

1645206877862.png
 
SSH anajitengenezea laaana kubwa sana huyu Mbowe kapambana na Mkapa, kapambana na Kikwete kwa hoja na upendo sasa alivyoingia devil akaja kuharibu kabisa hii nchi. Ila ukweli huyu Mzanzibar anachokitafuta hatokuja kuamini watakavyomkimbia wenzake. Kesi ya kijinga sana hii. Ila acha waje mashahidi wake tuone sarakasi ya jamhuri.
 
SSH anajitengenezea laaana kubwa sana huyu Mbowe kapambana na Mkapa, kapambana na Kikwete kwa hoja na upendo sasa alivyoingia devil akaja kuharibu kabisa hii nchi. Ila ukweli huyu Mzanzibar anachokitafuta hatokuja kuamini watakavyomkimbia wenzake. Kesi ya kijinga sana hii. Ila acha waje mashahidi wake tuone sarakasi ya jamhuri.
Mimi naomba Mungu amtendee kama Mwendazake,
 
Mh. Mbowe hawezi kumpigia magoti mwanadamu..

Kama hawa jamaa wanasubiria hilo basi watasubiria sana, na yule kibaraka wao waliomtuma amwombee msamaha bila idhini yake sasa hivi anatafuta pa kujificha kwa aibu.
 
Mh. Mbowe hawezi kumpigia magoti mwanadamu..
Lkn Mbowe anaumia na hatujui anachokiwaza moyoni kwake. Yawezekana ukasikia kesho asubuhi amepiga magoti kuomba poo

Tatizo lipo kwa wafuasi wa Mbowe na watanzania wapenda demokrasia. Hivi imeshindikana kabisa kuliamsha dude mpk serikali na dola wakaomba poo???!

Kwa staili hii Mbowe atashikiliwa mpk uschaguzi mkuu wa 2025 upite
 
Lkn Mbowe anaumia na hatujui anachokiwaza moyoni kwake. Yawezekana ukasikia kesho asubuhi amepiga magoti kuomba poo

Tatizo lipo kwa wafuasi wa Mbowe na watanzania wapenda demokrasia. Hivi imeshindikana kabisa kuliamsha dude mpk serikali na dola wakaomba poo???!

Kwa staili hii Mbowe atashikiliwa mpk uschaguzi mkuu wa 2025 upite
Mtasubiri sana!!
 
Sisi tupo kwenye keyboard hapa.

Mbowe yupo mahabusu.

Simuwazii sana Mbowe kwakua ni bilionea familia yake haiwezi sumbuka na hata yeye akitoka anapo pa kuanzia.

Hawa ambao kulikua na mgonga kokoto na dereva maisha yao yatakuaje baada ya sakata kuisha? Familia zao zinasurvive vipi kwa sasa?

Mawakili wa utetezi walionyesha matundu katika vielelezo na ushahidi wa upande wa mashtaka kiasi mpaka nikahisi hii kesi haina miguu.

Maamuzi ya leo yamenimaanishia kwamba upande wa mashtaka walitaka tu kuthibitisha kwamba Luteni Urio na Mbowe walikutana, Luteni Urio alimtafutia Mbowe waliowahi kua makomando, Luteni Urio alipokea pesa kutoka kwa Mbowe na kama walikamatwa huko Rau.

Si mchezo.
 
Wengi wanaomsifu Mbowe kutokaa mezani nina uhakika hawajawahi kukaa mahabusu hata siku moja. Wanampamba tu kwamba atakua Mandela wa Tanzania ila wakiambiwa wakakae wao ili wawe wakina Mandela sioni wa kukubali.
 
SSH anajitengenezea laaana kubwa sana huyu Mbowe kapambana na Mkapa, kapambana na Kikwete kwa hoja na upendo sasa alivyoingia devil akaja kuharibu kabisa hii nchi. Ila ukweli huyu Mzanzibar anachokitafuta hatokuja kuamini watakavyomkimbia wenzake. Kesi ya kijinga sana hii. Ila acha waje mashahidi wake tuone sarakasi ya jamhuri.
Hakuna Cha laana wewe,kumwajibisha gaidi Ni moja ya thawabu kubwa sana kwa Mungu.

#Mbowe ni gaidi
 
Wengi wanaomsifu Mbowe kutokaa mezani nina uhakika hawajahi kukaa mahabusu hata siku moja. Wanampamba tu kwamba atakua Mandela wa Tanzania ila wakiambiwa wakakae wao ili wawe wakina Mandela sioni wa kukubali.
Kwahiyo mumumuweka mahabusu ili awapigie magoti!!
 
Hawa watu kuanzia mwenyekiti wao wanaishi na nafsi zinazowatesa sana kwani wanajua kabisa kuna mtu wanamtesa, mtu asie na kosa wala hatia yoyote. Wanaumia na kuteseka sana wanapoona picha za Mbowe na wale washitakiwe wengine wanapoingia na kutoka mahakamani ila kwakuwa walishafanya kosa, hawana la kufanya bali kuishi na nafsi zinzowasuta.

Hivyo, ili wakwepa hii aibu, wanatamani sana kuona Mbowe anawapigia magoti jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana na ndion maana wanachukia sana kuona Mbowe anapongezwa kwa kusimama imara kutouza utu wake.

Anyway, muda ndio utathibitisha ni nani mnufaika wa kisiasa wa hii kesi.


View attachment 2123222
Hii kesi wangeifuta ni aibu kwa serikali ingeonekana ni shinikizo la lissu limefanya kazi hivyo baada ya muda mbowe kupeleka mashahidi utasikia dpp kaitupilia mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom