Wanachuo kuanzisha chama cha kisiasa inaweza kuwa chachu ya mabadiliko nchini

Wanachuo kuanzisha chama cha kisiasa inaweza kuwa chachu ya mabadiliko nchini

FROZEN HEART

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
94
Reaction score
130
Habari WanaForums

Ni jambo ambalo nimelifikiria tu kuwa inakuwaje kama wanachuo au wasomi waliopitia chuo katika course zote kuanzisha chama cha kisiasa ambacho kitajumuisha ngazi zote za elimu yaani diploma, degree, na hata masters kwa lengo la kuleta chama kinachoweza kuleta hoja kuchanganua na kuzitetea mbele ya serikali.

Vipi hii imekaaje wakuu?.
 
Habari WanaForums

Ni jambo ambalo nimelifikiria tu kuwa inakuwaje kama wanachuo au wasomi waliopitia chuo katika course zote kuanzisha chama cha kisiasa ambacho kitajumuisha ngazi zote za elimu yaani diploma, degree, na hata masters kwa lengo la kuleta chama kinachoweza kuleta hoja kuchanganua na kuzitetea mbele ya serikali.

Vipi hii imekaaje wakuu?.
Imekaa poa,kazi mnayo?
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo kungekuwa na chama cha siasa cha wajasiriamali, bodaboda nk. Kwa sheria ya vyama vya siasa bila shaka inataka chama kiwe na watu wote bila kubagua elimu, umri nk. Muhimu wahusika wawe raia halali wa Tanzania.
 
Habari WanaForums

Ni jambo ambalo nimelifikiria tu kuwa inakuwaje kama wanachuo au wasomi waliopitia chuo katika course zote kuanzisha chama cha kisiasa ambacho kitajumuisha ngazi zote za elimu yaani diploma, degree, na hata masters kwa lengo la kuleta chama kinachoweza kuleta hoja kuchanganua na kuzitetea mbele ya serikali.

Vipi hii imekaaje wakuu?.
Hivi vilivyopo havitoshi ?
 
Habari WanaForums

Ni jambo ambalo nimelifikiria tu kuwa inakuwaje kama wanachuo au wasomi waliopitia chuo katika course zote kuanzisha chama cha kisiasa ambacho kitajumuisha ngazi zote za elimu yaani diploma, degree, na hata masters kwa lengo la kuleta chama kinachoweza kuleta hoja kuchanganua na kuzitetea mbele ya serikali.

Vipi hii imekaaje wakuu?.
Ccm watakulaani,sababu vyama hivi vina agenda za nyuma ya pazia,imagine alumni wote mtaani wawe na hoja za kuingia ikulu,mtaaxha watu wawe viziwi,na.wangine wakojoe white fluid
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo kungekuwa na chama cha siasa cha wajasiriamali, bodaboda nk. Kwa sheria ya vyama vya siasa bila shaka inataka chama kiwe na watu wote bila kubagua elimu, umri nk. Muhimu wahusika wawe raia halali wa Tanzania.
Labda hujanielewa mkuu ninachomaanisha Mimi ni kiwe na wanachuo wengi sana ila kiwe kina jumuisha watu wa aina zote wakulima wamedereva kulingana na watu tulionao mtaani na wanachuo pia
 
Back
Top Bottom