Kwa katiba iliyopo ni ngumu sana kuanzisha Chama ambacho CCM inajua kitakuwa tishio.Kwa katiba kama ya Kenya hilo linawezekana,kule unaanzisha chama leo baada ya mwezi mmoja kinaweza kusajiliwa.Pia hawana masharti ya kukwamisha usajili wa chama kama huku Danganyika.
Una akili sana boss,agiza fanta..hii ndio system iliyoleta mabadiliko ulaya yote,kwamba wakulima wawe na chama Chao cha siasa cha kuwatetea, wafanya biashara..wanafunzi, walimu,...
Labda hujanielewa mkuu ninachomaanisha Mimi ni kiwe na wanachuo wengi sana ila kiwe kina jumuisha watu wa aina zote wakulima wamedereva kulingana na watu tulionao mtaani na wanachuo pia
Chama hiko tayari kipo ndio CDM. Wasomi wengi ni wafuasi wa CDM achilia mbali vijana katika ujumla wao. Wale unaowaona wanavaa mashati ya kijani na zambarau ni wasaka fursa tu.
Chama hiko tayari kipo ndio CDM. Wasomi wengi ni wafuasi wa CDM achilia mbali vijana katika ujumla wao. Wale unaowaona wanavaa mashati ya kijani na zambarau ni wasaka fursa tu.