Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wakimaliza unawaimbisha ule wimbo wa Uzalendo.Inauma sana
Ngozi nyeusi haiathiriwi na joto kali.Hii kali sana kweli ngozi nyeusi ni nyeusi tu..
Rafiki yangu aliepo MUHAS, katika story za hapa na pale akawa ananielezea kuwa licha ya JOTO la Dar hili lote madarasa wanayotumia kusomea na yenye WiFi huwa yanawashwa AC tu ikiwa hawa wanafunzi wageni wa SUDAN wakiwa wanafundishwa .. (ikumbukwe madarasa/lecture rooms wanashare wote).. wakitoka tu ama vipindi vyao vikiisha walinzi wanakuja kuzima AC ..zinazimwa ukijaribu kuuliza unaambiwa nyie sio watu maalum tumepewa maelezo AC ni kwa ajili ya wanafunzi wa Sudan..
Ikumbukwe wanafunzi hawa wa Sudan wapo MUHAS kusoma sababu ya hali ya kiusalama nchi kwao kuwa sio nzuri wamekuja huku ili kuendeleza masomo yao ambayo walikuwa wanasoma..
Namnukuu.
.
"Kama sisi watu weusi tunafanyiana hivi, kuna haja gani ya hawa waSUDAN wawepo? Bora wasiwepo ili tuendelee kupambana na joto" sisi ngozi nyeusi tuna shida gani hasa tukiona ngozi nyeupe? Upo radhi umkandamize mwenzako kisa sio mweupe?
"
Mwisho wa kunukuu..
Waungwana hii ni sawa?..
[emoji23][emoji23][emoji23]Mleta Mada .. mwambie huyo kijana alikuja kusoma sio kulalamikia AC ..[emoji51](Kuna mtu atakuja kuandika hivi)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawashobokea hao viongozi wa chuo, sio wanafunzi sasa.Nyie si mlikuwa mnawashobokea?
Mkome!
Wakitoka hapo hao wanafunzi hawana uelewa wowote, ndo wanakuja field hospital kuua wagonjwa, LolSpecial occasion Ni muda wa wanafunzi wa Sudan wakiwa wanasoma tu, wakiingia wanafunzi wa MUHAS wanazimiwa..? Mbona wakati hawajafika waSUDAN AC Zilikuwa zinatumika.. muda wote. Kwani waSUDAN wamebadili nini?
Msiwafanyie vijana hivyo hata wao wanalipa ADA .. Joto la DAR hili lote bado unawafanyia watoto hivyo wewe ungekubali? Ufanyiwe hivyo ilihali AC ziliwekwa sababu ya matumizi hayo.
Kabisaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo bahati mbaya aisee[emoji16][emoji16] wabane meno tuu wamalize muda wao watembee, ndio maana Tanzania inasifa nyingi za ukarimu nje ya nchi ambazo sisi wenye nchi tukizisikia tunajibana tusicheke tuu [emoji16][emoji16]