Wanachuo Tushauriane!

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Kama mjuavyo ndugu zangu, wanachuo wengi sasa hivi tushamaliza field so ni mwendo wa kukaa mpaka mwezi wa kumi na moja kurudi chuo, sasa kitu cha muhimu hapa naomba tushauriane je nini tufanye angalau siku ikianza na kuisha angalau uwe umefanya kitu fulani kuliko jua linachomoza....linazama hujafanya chochote!
 
Angalia vizuri hiyo avatar yako, unapata cha kufanya, acha uzembe

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
To accomplish much you must first lose everything..
 
wanasema changanya akili changanya nguvu changanya maarifa utapata kitu cha kufanya
 
Mkuu kuisoma namba tuu hapa hadi 6/11.
ilee elaa ambayo ulikuwa unalipwa 70k kwa siku si badoo ipoo..??

Nokia ya Torch
 
Mkuu kuisoma namba tuu hapa hadi 6/11.
ilee elaa ambayo ulikuwa unalipwa 70k kwa siku si badoo ipoo..??

Nokia ya Torch
daah ile si nlikuwa naluipwa Field mzee na ishatumika kwa mambo mengine!
 
daah ile si nlikuwa naluipwa Field mzee na ishatumika kwa mambo mengine!
afu kama nmekuona leo block S hapa unapiga msuli wa Sup ya Sc[emoji2] [emoji2]

Nokia ya Torch
 
afu kama nmekuona leo block S hapa unapiga msuli wa Sup ya Sc[emoji2] [emoji2]

Nokia ya Torch
Hahahaaa mzee babaa sina sup asee Japo nlitoka kibabe na B plain
 
Badala ya kukimbilia nyumbani, ungeomba kwa masupervisor wako wa field uextend muda kwa ajili ya kujifunza vitu tofauti na vya ziada hata bila malipo.
Idea nzuri sema field nlienda kufanyia mkoani so ni costful
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…