Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smoking weed cannot stop me from advising you... No matter how poor your father is, love her, she is your sister.[emoji41][emoji41][emoji41]Sema nini inaboa sana!! Nakumbuka enziii nipo chuoni demu wangu alikua akiniita Malaya,aiseh hii ndo moja ya sababu tukaachana!!! Nilikua sipendezwi na jina hilo isitoshe nilikua nampenda sana na sikuwahi fikiria kumsaliti ila nilipoona jina lile haliachii nikafanya kweli [emoji57] na tukaachana!
Yaani ni malayasss times hundred.Naona wadau wameshikilia msimamo wao nyinyi ni Malaya [emoji12][emoji12]
Sidhani kama jamii inawachukulia wanachuo hivyo ila Malaya ni Malaya tu hana namna ya kujificha hata kwa mgongo wa chuo.
Shukran mkuuumesema ukweli,sina cha kuongezea
Tatizo la mademu wa chuo ni moja njaa nyingi unamtoa dinner tu mbadili mawazo anaamza kuorodhosha shida zake unaenda kumtembelea tu shida zinaorodheshwa mama pages 4 hiv za karatasi. Nilikiwa na kidemu cha IFM ndo michakato kama hii nkaona njaa nyingi nkakipiga chini hizi njaa kikapeleke kwa wazazi na walezi wake wengi wa wanachuo ndo wako hivi so lazima tuwaone wadangajiHivi kwanini wanachuo wengi wanawachukuliwa kama wadangaji au malaya? Hii sio sawa. Jamii inatakiwa ielimishwe sio kila mwanachuo ni malaya. Ni hali tu ya kuwa smart na mavazi tu nothing else.