Wanachuo waheshimiwe...

Wanachuo waheshimiwe...

Sema nini inaboa sana!! Nakumbuka enziii nipo chuoni demu wangu alikua akiniita Malaya,aiseh hii ndo moja ya sababu tukaachana!!! Nilikua sipendezwi na jina hilo isitoshe nilikua nampenda sana na sikuwahi fikiria kumsaliti ila nilipoona jina lile haliachii nikafanya kweli [emoji57] na tukaachana!
Smoking weed cannot stop me from advising you... No matter how poor your father is, love her, she is your sister.[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mnavaa uchi kisa wembamba sijui,,,

Kile chuo cha udaktari Dar ndo hakina hadhi kabisa yaani wakiwa field wanavovaa uchi mpaka mgonjwa unaogopa kuhudumiwa nae,,.

Hawajui kudetermine vazi la chuo na kazini, au mtaani.
Ni aibu sana.


Afu waNatumia ndumba kukamata wanaume wa watu,, kiufupi ni wahuni sanaaaaa naishi karibu na chuo na wamepanga wengine nje ya chuo vitimbi nashuhudia asubuhi na jioni mpaka nimezoea
 
Naona wadau wameshikilia msimamo wao nyinyi ni Malaya [emoji12][emoji12]
Yaani ni malayasss times hundred.

Awe ameolewa / ameoa
Au awe hajaolewa . hajaoa
Wakiingia chuo ni habari ingine..

Mwenye Pete kidoleni anamtafuta mwenyew Pete kidoleni wanajifanya wanadiscuss hadi night gheto ukiwauliza nna mke wangu nshaoa huyu mwingine nshaolewa na nnafsmilia siwezi kusaliti ndoa hapa tunadiscus tu kisa Pete ndo mtetezi, mbaya zaidi wanawake walio kwenye ndoa hela ya matumizi ndio wanashare na mchepuo ya chuo tena ndo inalea kabisa.
 
Sema nini... Mavazi ya hovyo ya mwanamke huwa yanawashusha thamani sana mbele ya jamii haswa ya wanaume... Sasa mfano unakuta mwanchuo kavaa dela na wala si mjamzito ..kama sio umalaya ni nini
 
Hivi kwanini wanachuo wengi wanawachukuliwa kama wadangaji au malaya? Hii sio sawa. Jamii inatakiwa ielimishwe sio kila mwanachuo ni malaya. Ni hali tu ya kuwa smart na mavazi tu nothing else.
Tatizo la mademu wa chuo ni moja njaa nyingi unamtoa dinner tu mbadili mawazo anaamza kuorodhosha shida zake unaenda kumtembelea tu shida zinaorodheshwa mama pages 4 hiv za karatasi. Nilikiwa na kidemu cha IFM ndo michakato kama hii nkaona njaa nyingi nkakipiga chini hizi njaa kikapeleke kwa wazazi na walezi wake wengi wa wanachuo ndo wako hivi so lazima tuwaone wadangaji
 
heshima ya mtu ni vile anavyojiweka ata wakipew hiz heshima nothing kam wenyew wana akili za kudanga😨😨😨
 
Wengi uharibikia chuo kwa kifuata mkumbo...na kutumia vibaya uhuru wao.
 
Back
Top Bottom