Kwel kabisa uyasemayo,utakuta mtu katoka kwao akiwa ameokoka mbaya lakin akifika chuo kutokana na mambo yanayoendelea huko kwan watu weng huwa na wapenz na mara nyngn hufanya mambo hadharan hvyo kupelekea mlokole wa watu kushawishika na kutupa ulokole kule na yy na kujiingiza ktk mapenz mwsh wa cku anaishia kubaya..so jaman wasomi tuwe mfano mzur kwa jamii zetu...!