Wanadada mnaotafuta wanaume JF mnachokitafuta mtakipata

Wanadada mnaotafuta wanaume JF mnachokitafuta mtakipata

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Habari za usiku wakuu...poleni na majukumu ya mchana kutwa.

Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao wakiwa ni single mother) .
Dada zangu muwe makini sana ktk kutafuta kwenu huyo mume vinginevyo mtajikuta mnazalishwa na mnaachwa solemba.

Sisi wanaume Akili zetu tunazijua wenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haswa tukishikwa na genyeeeee
 
Sema ww ndo ulivyo usichanganye watu maana watu hawafanani tabia.
Nawaonea huruma sana aisee nimekutana na kesi nyingi za single mother waliokua wanatafuta Faraja ghafla wakawa double mother[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itakuwa ndio unavyo fanya wewe jamaaa
 
Wakuu madini niliyowadokolezeaa ni kidogo sana .....wanaume tunamadini lukuki
 
Hii kama haijakaa sawa maana ulivyo wewe si wanaume wrote ndivyo tulivyo,nadhani hiyo ni tabia yako binafsi
 
Yani mawazo yako na tabia zako binafsi ndo utujumuishe wanaume wote? That's ridiculous!

Come on man, kwani wewe unawajua wanaume wa JF kuwashinda wanawake wa JF?

Kwa kanuni za chama la kiumeni, wewe sio mwenzetu tena, you're such a traitor!
 
Back
Top Bottom