Wanadamu tujifunze kuwa wastaarabu

Elimu ni pana sana, bar unaweza pia kwenda kusali hahahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Daby
 
wewe ndio sio mstaarabu. wewe ulimpa huyo dada bia, alikuwa na haki ya kuzitumia anavyotaka yeye. sijui kimekuuma nini wakati hata bia hukununua wewe?
 
Tehtehteh...itabidi nami nitembee huko Mwanza nijifunze mengi....

NAKWEDE nipokee 4th January nitapita.
Karibu sana. Tena bahati nzuri ni siku ya Jumamosi nitakuw "fwiree". Unatumia kilevi? hahahaha
 
wewe ndio sio mstaarabu. wewe ulimpa huyo dada bia, alikuwa na haki ya kuzitumia anavyotaka yeye. sijui kimekuuma nini wakati hata bia hukununua wewe?
Na wewe ungeweza kufanya kama huyo dada!!!!!
 
Vilevi vipo vingi....cha Bar situmii ila vingine natumia.
hahahahah, weka nukta. mengine tutaongea baadae hata kwenye lile jukwaa la chini kabisa chini
 
Umewasema akina ngosha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewasema akina ngosha hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ
 

Ustaarabu kwanza uanzie kwako unapewaje zawadi alafu na wewe unaigawa tena ndani ya muda mfupi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hilo kabila ustaarabu wao uko chini, pole kama nimekuumiza. Ila huo ndio ukweli


Nakwede hujawah fanya haya mambo ww!?πŸ˜…πŸ˜…...mbona easy sana best?hahhaa ..hujawh bakiza msos ukasepa nao!huyo ni km.kabakiza msos ila akaufanyia exchange rateπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…