[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakwede hujawah fanya haya mambo ww!?[emoji28][emoji28]...mbona easy sana best?hahhaa ..hujawh bakiza msos ukasepa nao!huyo ni km.kabakiza msos ila akaufanyia exchange rate[emoji28]
hahahah, unajua nilichoshangaa ni vile alivyopata ujasiri wa kubadilisha na kuchukua hela.Nakwede hujawah fanya haya mambo ww!?😅😅...mbona easy sana best?hahhaa ..hujawh bakiza msos ukasepa nao!huyo ni km.kabakiza msos ila akaufanyia exchange rate😅
Sanchoka!!! Umetisha sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye misosi ndiyo mchezo wangu kwenye masherehe..[emoji1787][emoji1787] nilikuwa najiona wa ajabu..ila Sasa konkodi
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah, unajua nilichoshangaa ni vile alivyopata ujasiri wa kubadilisha na kuchukua hela.
hahahah, si angeniambia mie nakunywa moja tu!
Au hata alivyopata ile si ange deshi kunipa mwenye bia zake. hahahahhahha, lakini mrembo alifungua handbag na kuweka, hapo hapo nikasikia tu "byeeee" hahahahahhahaaah. Halafu sio kwamba ana uchumi wa kuyumba! tehe tehe tehe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye misosi ndiyo mchezo wangu kwenye masherehe..[emoji1787][emoji1787] nilikuwa najiona wa ajabu..ila Sasa konkodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa kama sister wangu 😂😂😂. Yeye akibakiza nyama, samaki au kuku popote pale lazma aombe foil
chaaa! Mangi na wewe!
🤣🤣🤣! Umaskini huu bwana! Wanawake weng tubeba aisee
I normally do the same, not to exchange beer for bucks but to keep them for me.Na wewe ungeweza kufanya kama huyo dada!!!!!
Hahahha haya mambo ya kawaida wengi tunafanya si eti HB wa kigogoUtakuwa kama sister wangu [emoji23][emoji23][emoji23]. Yeye akibakiza nyama, samaki au kuku popote pale lazma aombe foil
[emoji23][emoji23]leo tu nimetoka kufanya nmebakiza kuku zangu nkaomba foil nijifungie nkamalizia nyumban[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Umaskini huu bwana! Wanawake weng tubeba aisee
Hamna kuacha chechi.Hahahha haya mambo ya kawaida wengi tunafanya si eti HB wa kigogo