Wanadanganya kuwa wameacha kazi ili wapate mafao yao

Wanadanganya kuwa wameacha kazi ili wapate mafao yao

shegaboy

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
213
Reaction score
34
Nimesikitika sana na sasa hiki chombo cha NSSF kitakuwa kimya mpaka lini kwani kuna baadhi ya watu wameingia na kusema kuwa wameacha kazi na hali bado ni wafanya kazi na wanapewa mafao yao. fatilieni katika haya makampuni mtaona na kugundua hiki hapa kwetu kuna watu wameleta maombi yao kupew hela zao na hali bado ni wafanya kazi bado. maombi yanakuja leo au wiki ijao na HR amewaambia ila mtu wa fedha anawafanyia mpango wakwale chao inauma sana hii mpaka lini? hii ni taasisi fulani hiko hapa hapa kinondoni
 
Wewe tatizo lako nini?
Hiyo pesa ni yake na wala huwezi mpangia mtu aichukue wakati gani. ni ukiritimba tu wa kimfumo ndio unamfanya mtu adanganye ili apewe hela yake..au wewe ndio wale mliotaka mpaka mtu afike miaka 55 ndio apewe wakati maisha ni mafupi sana?? wewe wala usipate shida hawaibi wanachukua chao ingali wana meno waziwekeze kwenye mambo mengine ya kuwaletea faida...
Alamsik
 
sina shida nao na je mbona bado wanafanya kazi hapo hapo mimi sina shida kama mtu anachuku chake ila shida udanganyifu ndugu
 
Asante kwa taarifa, wewe cha kufanya naomba uni pm ili nijue ni watu gani na ni kampuni gani tulifanyie kazi. gud luck.
 
sina shida nao na je mbona bado wanafanya kazi hapo hapo mimi sina shida kama mtu anachuku chake ila shida udanganyifu ndugu

yaani mtu kudanganya ale chake wewe inakusumbua vipi. mimi binafsi nilishadanganya nikapata hela za kulipia ada, imagine nisingedanganya enzi hizo za nyuma nisingemaliza shule yangu ya jioni. pili kwa mfano enzi za ukiritimba wa kupata veti vya kuzaliwa. ukisema umetokea huko mbamba bay ni leo utakamilisha hilo zoezi. wewe sijakupata kusema inauma sana... kivipi
 
Back
Top Bottom