Wanadiplomasia na wataalamu naomba mnisaidie gharama za daraja kama hili tafadhali

Wanadiplomasia na wataalamu naomba mnisaidie gharama za daraja kama hili tafadhali

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
C2D24170-F13A-4C37-9E4C-38D9F5FA2831.jpeg
Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?
 
Mtu kuvunjika mguu kwenye Hilo daraja ni rahisi sana....!
 
Eti wanadiplomasia? Wanahusikaje na vivuko vya maskini walio katika nchi yenye uchumi wa kati.
Wapembuzi wa uchumi wanaangaliaga mzunguko wa fedha kwenye mabenk badala ya kutembelea vijijini huko
 
Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?
1627722541266.png


Hapo kuna miti kama 10 ya cyprus imetumika, gharama yake ni kama Tshs 500,000. Na labda vibarua kuangusha na kubeba ongeza Tshs 500,000, jumla Tshs 1m.

Misumari nchi sita kilo 20 Shs 60,000, labour charges Shs 1,000,000

Jumla shs kama Tshs 2,100,000.
 
View attachment 1875064

Hapo kuna miti kama 10 ya cyprus imetumika, gharama yake ni kama Tshs 500,000. Na labda vibarua kuangusha na kubeba ongeza Tshs 500,000, jumla Tshs 1m.

Misumari nchi sita kilo 20 Shs 60,000, labour charges Shs 1,000,000

Jumla shs kama Tshs 1,100,000.
Hii jumla mbona utata
 
View attachment 1875064

Hapo kuna miti kama 10 ya cyprus imetumika, gharama yake ni kama Tshs 500,000. Na labda vibarua kuangusha na kubeba ongeza Tshs 500,000, jumla Tshs 1m.

Misumari nchi sita kilo 20 Shs 60,000, labour charges Shs 1,000,000

Jumla shs kama Tshs 1,100,000.
Sijaona gharama za upembuzi yakinifu kwa hiyo hesabu yako itakuwa na shaka
 
Kwa kijijin kidaraja kama hiko ni lak3..kwa mjin sabab material yote utanunua...ni kama lak7
 
Back
Top Bottom