Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchochezi mamiHalifiki laki unusu.
Tumeombwa tukadirie hilo Daraja la mianziAcha uchochezi mami
uchochezi wa nini ama hilo ndilo lilizinduliwa Moro?Acha uchochezi mami
Mbuzi ,kondoo na ng'ombe wa mchungaji wasubiri kwanza kwani wanatuchelewesha.Mtu kuvunjika mguu kwenye Hilo daraja ni rahisi sana....!
Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?
Hii jumla mbona utataView attachment 1875064
Hapo kuna miti kama 10 ya cyprus imetumika, gharama yake ni kama Tshs 500,000. Na labda vibarua kuangusha na kubeba ongeza Tshs 500,000, jumla Tshs 1m.
Misumari nchi sita kilo 20 Shs 60,000, labour charges Shs 1,000,000
Jumla shs kama Tshs 1,100,000.
Kwa nini Mkuu?Hii jumla mbona utata
Jumlisha toka mwanzo mwa BOQ naona kama jumla IPO chini kuliko ufafanuziKwa nini Mkuu?
Sijaona gharama za upembuzi yakinifu kwa hiyo hesabu yako itakuwa na shakaView attachment 1875064
Hapo kuna miti kama 10 ya cyprus imetumika, gharama yake ni kama Tshs 500,000. Na labda vibarua kuangusha na kubeba ongeza Tshs 500,000, jumla Tshs 1m.
Misumari nchi sita kilo 20 Shs 60,000, labour charges Shs 1,000,000
Jumla shs kama Tshs 1,100,000.
Haaa! Kuna njia nyingi za upigaji🤣🤣🤣Sijaona gharama za upembuzi yakinifu kwa hiyo hesabu yako itakuwa na shaka
Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?