wanafanya nini hawa ??

wanafanya nini hawa ??

KakaNanii

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2008
Posts
325
Reaction score
52
Eti jamani hawa wanafanya nini hapa ???
 

Attachments

  • HAWA-JAMII.jpg
    HAWA-JAMII.jpg
    25.7 KB · Views: 237
Hawa vijana wanafanyiwa African rituals[ unyago] wakiwa jandoni!!
 
Inabidi baada ya Mkulu kuanguka katika kura 31 October,picha kama hizi,pamoja na zile za watoto kusomea chini ya mti,Darasa 1 kutumika na wanafunzi wa madarasa tofauti kwa wakati mmoja,picha za shida ya Maji,wagonjwa kujifungulia mabarabarani zi-replace mabango ya Mkulu... YANAKERA AAAAAGHHHH!!!
 
watakuwa wanamsubiri babu aje kuwapigia hadithi............
 
Tusker Bariiiidi, mbona unachanganya faili la kifo na la ujali? MADA TOFAUTI NA MAONI YAKO, NON-SENSE.:A S 13:
 
Hawa wapo katika mafunzo maalumu ya Jando na hapo wanafundishwa namna ya kukaa pamoja kwa nidhamu na usawa.
 
Back
Top Bottom