Inabidi baada ya Mkulu kuanguka katika kura 31 October,picha kama hizi,pamoja na zile za watoto kusomea chini ya mti,Darasa 1 kutumika na wanafunzi wa madarasa tofauti kwa wakati mmoja,picha za shida ya Maji,wagonjwa kujifungulia mabarabarani zi-replace mabango ya Mkulu... YANAKERA AAAAAGHHHH!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.