Inabidi baada ya Mkulu kuanguka katika kura 31 October,picha kama hizi,pamoja na zile za watoto kusomea chini ya mti,Darasa 1 kutumika na wanafunzi wa madarasa tofauti kwa wakati mmoja,picha za shida ya Maji,wagonjwa kujifungulia mabarabarani zi-replace mabango ya Mkulu... YANAKERA AAAAAGHHHH!!!