Halafu nyuma flatscreen.
Nani mithayo wa bongo movie
Hayo ni matangazo ya biashara. Yanaweza yakawa na athari au yasiwe na athari lakini kwao umuhimu ni kutangaza
Alivyoyapeleka mbele hayo manyonyo utafikiri gari imekata sentaboliti.
Umejuaje? Nilikata kipande cha chini kuwafichia hilo