Wanafikiri urembo kumbe ugonjwa

Mshana....leo natoa shkamoo tu! Hata kwa wadogo zangu! Shkamooo Mshana! Haya makitu nita kuPM siku moja...Ni shida!
 
Kama yanataka kupasuka vle. Ana onekana kama kaelemewa, au macho yng tu🙄
 
Hayo ni matangazo ya biashara. Yanaweza yakawa na athari au yasiwe na athari lakini kwao umuhimu ni kutangaza
 
Hayo ni matangazo ya biashara. Yanaweza yakawa na athari au yasiwe na athari lakini kwao umuhimu ni kutangaza

Wangelipwa sawa na athari watakazozipata mbeleni isingekuwa shida saaana! Lakini pesa wanayolipwa inaishia kwenye vipodozi nguo za mtumba na starehe
 
ningekuwa mwanume hiyo ndo ingekua priority yangu kwa wadada
kama huna ziwa liloshiba
PITA HIVI......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…